AIBU: Tanzania haina bus la parade kwa mabingwa kuonyesha kombe,Utopolo kakodini zambia

AIBU: Tanzania haina bus la parade kwa mabingwa kuonyesha kombe,Utopolo kakodini zambia

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Amini usiamini nchi nzima hii haina bus yale kama yanayotumika nchi zilizoendelea kufanya city guiding tourism , yaani huku team ikishinda ni wachezaji na benchi la ufundi ni kupakizwa kwenye ma fuso au tandam, Godamn it

Natoa rai kwamba msogee hapo zambia tu mkakodishe hili bus ndugu zangu kwa kuanzia na nyie utopolo mshajua mnachukua kombe anzeni mapema kwenda kitwe kuchukua basi hilo

bus.jpg
 
Kila Jambo nawakati wake, yaani baada ya kupanda ilo basi na kusheherekea ubingwa Litakua likifanya kazi gani Tena? Si Bora wakakodi lile la manispaaa ya Kinondoni Lilo achwa na mkoloni.
 
Simba misimu minne walikuwa wanatumia kirikuu ,hukuwahi kuanzisha uzi kuwashauri

Mwaka huu huo upendo wakuwashauri Yanga ,umeutoa wapi?
 
Simba misimu minne walikuwa wanatumia kirikuu ,hukuwahi kuanzisha uzi kuwashauri

Mwaka huu huo upendo wakuwashauri Yanga ,umeutoa wapi?
sababu yanga siyo team maskini ya kupanda ma fuso ya wanuka jasho wanaotumia spika za mende na kushinda juani, unataka semaji lisomi linalilipwa milioni 9 kwa mwezi lipande tandam kwenye parade?
 
Kila Jambo nawakati wake, yaani baada ya kupanda ilo basi na kusheherekea ubingwa Litakua likifanya kazi gani Tena? Si Bora wakakodi lile la manispaaa ya Kinondoni Lilo achwa na mkoloni.
Inabidi kuwe hata na basi moja nchi hii la kutembeza watalii kwenye miji kama yale mabus ya london kunakuw a hadi na tour guide anatangaza maeneo kwa microphone
 
Back
Top Bottom