Aibu: Tanzania yashika Mkia Elimu ya Juu Afrika Mashariki. Ili Kufuta Aibu Serikali yatenga Bil.972 kuongeza Udahili

Yaani wewe kiazi kila kitu unapinga..Kwa hiyo kwa sababu mlizoea kupika data basi unajua kila mtu anapika data.
 
Alaa kwa Hiyo wewe mjinga unaona kuzidiwa na Nchi yenye watu mil.11 vs mil60 ni sahihi?

Aisee Tzn kuendelea itakuwa shida ikiwa mtu anajiona msomi anafurahia ujinga
Ukitaka kujua wewe ni taahira ona unavyolinganisha idadi ya watu wakati wenzako wametoa mlinganisho kwa ‘percentages’. Hivyo asilimia 3 ya milioni 60 ni kubwa kuliko asilimia 6 ya millioni 11, umeelewa we chizi?!
 
Kwa mwenye uwezo wa kutafuta idadi ya university dropout mwaka huu atuwekee mkeka, mikopo ya elimu ya juu 2021 haina tija, 90%+ hawakupewa pesa ya field study na research, no special faculty, no books and stationery, ada kiduchu halafu mnawaza kiwango cha elimu kipande (ubora) wakati wanafunzi wanawaza kufanya bussiness kumalizia ada
 
Ukitaka kujua wewe ni taahira ona unavyolinganisha idadi ya watu wakati wenzako wametoa mlinganisho kwa ‘percentages’. Hivyo asilimia 3 ya milioni 60 ni kubwa kuliko asilimia 6 ya millioni 11, umeelewa we chizi?!
Hiyo hiyo percentage wise ina reflects namba.
 
Idadi ndio nimekupa, 3% ya watu milioni 60 na 6% ya watu milioni 11, ipi ni kubwa?
Ulienda shule kusomea ujinga? Hizo hesabu zinafanywa kwenye Udahili sio kwenye tatal population..

Mataahira kama nyie ndio yule kichaa aliwajaza maofisini.
 
Ulienda shule kusomea ujinga? Hizo hesabu zinafanywa kwenye Udahili sio kwenye tatal population..

Mataahira kama nyie ndio yule kichaa aliwajaza maofisini.
Ulienda shule kusomea ujinga? Hizo hesabu zinafanywa kwenye Udahili sio kwenye tatal population..

Mataahira kama nyie ndio yule kichaa aliwajaza maofisini.
Acha kuongea kama kuku aliyekatwa kichwa, hebu piga hizo % kwenye huo udahili unaozungumzia halafu tuambie ni ngapi vs ngapi.., kwamba 3% ya udahili huku Tz ni wanafunzi wanagapi, na 6% ya udahili hujo Rwanda ni wanafunzi wangapi...,
 
kwenye elimu ya juu tumeshuka sana.

Sishangai sisi kuvuta mkia. Tunatia aibu sana. Kumbuka ubora wa elimu na mafunzo ya chuo kikuu miaka ya 2000 mwanzoni halafu linganisha na leo 2022 utapata jibu
 
Unategemea nini kama hadi huyu zuzu eti nsye ni msomi...[emoji40][emoji40]mimi naona hata hiyo nafasi ya chini wametupendelea sana
 
kwenye elimu ya juu tumeshuka sana.

Sishangai sisi kuvuta mkia. Tunatia aibu sana. Kumbuka ubora wa elimu na mafunzo ya chuo kikuu miaka ya 2000 mwanzoni halafu linganisha na leo 2022 utapata jibu
Hii makala inaongea Hali Halisi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220901-161112.png
    114.6 KB · Views: 5
Acha kuongea kama kuku aliyekatwa kichwa, hebu piga hizo % kwenye huo udahili unaozungumzia halafu tuambie ni ngapi vs ngapi.., kwamba 3% ya udahili huku Tz ni wanafunzi wanagapi, na 6% ya udahili hujo Rwanda ni wanafunzi wangapi...,
We bogas soma makala hii labda ndio utaelewa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220901-161112.png
    114.6 KB · Views: 6
Tatizo linaaanzia chini. Wanaodahiliwa hawana uwezo kabisa. Mfano mfano wanaofaulu darasa la Saba kwenda firm one hawana uwezo kabisa,wanaofaulu form four kwenda firm five chujio Lina matundu makubwa alaf form six ety Kila mwaka wanaofaulu kwa 98%
 
Vyuo vikuu hivyo hivyo! Bongo ndo vilizalisha Rais Kihiyo Duniani aliyeogopa/aibu kuongea na Wazungu huko UNGA!....haya basi Rais katibiwe unaumwa aliona aibu kuongea kiingereza kibovu na Madaktari wazungu!

waalimu wa bongo buree kabisa! tena km hizi primary za sirikali mweeee! mwl division four!....basi kwa kujidai bwana yule kujisemesha semesha tuuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…