Basi nyie bavicha na bawacha shirikianeni na hao Wana CCM wenu muandamane. Hii ni nchi ya huru na ya kidemokrasia. Tusipangiane.Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwenye nchi yoyote kukishakuwa na chama kilichokaa muda mrefu madarakani kwa shuruti, lazima kitengeneze vyama vya mfukoni ili kuvuruga upinzani wa kweli. Uzuri wananchi Sasa hivi ni waelewa, wanajua kipi chama Cha upinzani, na wapi ni washenga wa siasa. Hivyo usiumize kichwaHii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hawa ni wa kuwafanyia kweli kwa kuwadhalilisha popote tukutanapo. Mpaka hayo maokoto wanayopewa wayaone shubiriHao Wapinzani wa Mchongo hawana lolote hao.
Mafisadi uchwara hao, pitia mbeleko wa ccm,Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wote hao wanapata mgao na ma V8 ya ccm.Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wameshalaaniwa na Mwenyezi Mungu kwa UsalitiHawa ni wa kuwafanyia kweli kwa kuwadhalilisha popote tukutanapo. Mpaka hayo maokoto wanayopewa wayaone shubiri
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wameshanunuliwa haoHii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
manyumbu na mapanyarodi yanakataana na kenge 🐒Hii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hao itoshe tu kuwaita mamluki wa ccm wakiwa na kaka yao ACTHii ni aibu kuwa na viongozi wanajiita eti wa upinzani kisha wanawapinga wenzao wanao endesha harakati za maandamano ya kupinga hali ngumu ya maisha inayotokana na dira mbovu za serikali, kutaka katiba mpya na kupinga miswaada isiyo fuata mawazo ya wananchi wakati wapo Wanachama wa CCM ambao pamoja na kuwa huko wanaunga mkono ili kurekebisha mambo.
Hawa ni mzigo kwa taifa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Watu kama hao ndiyo wanakwamisha juhudi za wazalendo wa kweli wa Tanzania CDM kuchelewa kuwakomboa Watanzania.Noma sana !
Namchukia sana ZZKMkuu kwenye nchi yoyote kukishakuwa na chama kilichokaa muda mrefu madarakani kwa shuruti, lazima kitengeneze vyama vya mfukoni ili kuvuruga upinzani wa kweli. Uzuri wananchi Sasa hivi ni waelewa, wanajua kipi chama Cha upinzani, na wapi ni washenga wa siasa. Hivyo usiumize kichwa
Hujaswagwa tayari ni Ng'ombe wa LumumbaWatanzania wote tuseme "hatuwezi kuwa ngazi au punda kwa viongozi wa chadema wenye ubinafsi wa kutengeneza njia zao za vipato kupitia sisi punda"
""TUMECHOKA KUSWAGWA KAMA NGOMBE KWA MASLAHI YA WATU WASIOZIDI 6 WANAOTAKA KUTUSWAGA KWA MASLAHI YAO ""
Manyumbu ni wale mnaofugwa kwenye pori la Lumumbamanyumbu na mapanyarodi yanakataana na kenge [emoji205]