Aibu ya mwaka; Bunge letu linapoenda garagazwa na Rais JK

Aibu ya mwaka; Bunge letu linapoenda garagazwa na Rais JK

Ibrah

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2007
Posts
2,730
Reaction score
530
Walipewa nafasi ya kujadili marekebisho ya Katiba; CDM wakaleta hoja zao kupitia Waziri kivuli wa Sheria; Tundu Lisu, Bunge likapokea hoja lkn badala ya kujadili hoja wakaleta vioja, wakaanza kumjadili Lisu na kupitisha huo mswada.
Sasa JK anatakiwa kusaini ifikapo Dec 1. Kwa hali ilivyo, kuna dalili JK huenda asisaini na kurudisha mswada Bungeni ujadiliwe upya, maana hana chakupoteza, ni fursa kurudisha umaarufu wake maana hana cha kupoteza 2015.
Aibu yaja Kwa Bunge, Wabunge wa CCM, CUF na Spika Makinda
 
...labda, labda... kwa mara ya kwanza Mh. Kikwete atavaa kofia ya Urais na kuweza kukumbukwa kwenye vitabu vya historia ya ujenzi wa Taifa hili!!!
 
Walipewa nafasi ya kujadili marekebisho ya Katiba; CDM wakaleta hoja zao kupitia Waziri kivuli wa Sheria; Tundu Lisu, Bunge likapokea hoja lkn badala ya kujadili hoja wakaleta vioja, wakaanza kumjadili Lisu na kupitisha huo mswada.
Sasa JK anatakiwa kusaini ifikapo Dec 1. Kwa hali ilivyo, kuna dalili JK huenda asisaini na kurudisha mswada Bungeni ujadiliwe upya, maana hana chakupoteza, ni fursa kurudisha umaarufu wake maana hana cha kupoteza 2015.
Aibu yaja Kwa Bunge, Wabunge wa CCM, CUF na Spika Makinda

Mkuu sidhani kama hilo linaweza kutokea, JK atasaini mkataba huo pasipo mashaka yoyote yale.
Labda ungenipa sababu nyingine za kushindwa kusaini mswada huo.
 
Mkuu sidhani kama hilo linaweza kutokea, JK atasaini mkataba huo pasipo mashaka yoyote yale.
Labda ungenipa sababu nyingine za kushindwa kusaini mswada huo.

Naamini JK atataka atuachie jema ambalo kwalo tutamkumbuka. Pili, shinikizo la kupinga kukimbizwa kwa marekebisho ya Katiba kutoka ndani na nje ya nchi limeongezeka. Mwisho, kulazimisha matakwa ya CCM kwenye suala hilo ni kuwadhulumu WaTz haki yao kujadili katiba yao laweza kusababisha vurugu kubwa zisizotazamiwa.
 
Naamini JK atataka atuachie jema ambalo kwalo tutamkumbuka. Pili, shinikizo la kupinga kukimbizwa kwa marekebisho ya Katiba kutoka ndani na nje ya nchi limeongezeka. Mwisho, kulazimisha matakwa ya CCM kwenye suala hilo ni kuwadhulumu WaTz haki yao kujadili katiba yao laweza kusababisha vurugu kubwa zisizotazamiwa.

Yah inawezekana coz kwa mara ya kwanza nimemsikia mtu wa zaman wa CCM kutokukubaliana kabisa na mchakato wa katiba ulivyoenda,ni mzee Kitine nilimsikia Tbc kwenye This week in Pespective,nampenda huyu mzee coz kidole hua anakiita kidole na wala sio moja(anasema ukwel) hata kama issue imevurundwa na chama chake,sisiem wanabishana na ukwel ulio waz kabisa kwa kua wao ndio wenye serikali hivyo wanatumia vbaya madaraka bt siku znakuja!
 
Walipewa nafasi ya kujadili marekebisho ya Katiba; CDM wakaleta hoja zao kupitia Waziri kivuli wa Sheria; Tundu Lisu, Bunge likapokea hoja lkn badala ya kujadili hoja wakaleta vioja, wakaanza kumjadili Lisu na kupitisha huo mswada.
Sasa JK anatakiwa kusaini ifikapo Dec 1. Kwa hali ilivyo, kuna dalili JK huenda asisaini na kurudisha mswada Bungeni ujadiliwe upya, maana hana chakupoteza, ni fursa kurudisha umaarufu wake maana hana cha kupoteza 2015.
Aibu yaja Kwa Bunge, Wabunge wa CCM, CUF na Spika Makinda

Muswada atausaini. Muswada haukutayarishwa na bunge umetayarishwa na JK(serikali) Kisha wakawapelekea rubber stampers wao. Kitendo cha kutousaini muswada ni kuwsaliti rubber stampers wa serikali (Wabunge wa CCM na CUF). JK atakachoweza kufanya ni kuusaini halafu wataurudishabubgeni kwa ajili ya ammendments kama wanaona kuna haja ya kufanya hivyo. Otherwise kusaini muswada si tatizo sana kwa JK tatizo ni mchakato wenyewe kukosa uungwaji mkono wa wananchi na wasomi. Ila kwa kuwa wao ni CCM watatengeneza katiba yao ya muda na huko mbeleni watanzania watakuji kuitrush na kutengeneza katiba ya nchi si ya chama cha siasa na kuiita ya nchi.
 
Yeah. Kikwete akirudisha hoja bungeni kujadiliwa tena atakuwa amefanya jambo zuri na atapata distinction kama si credit. Akisaini atakuwa ameisuta nafsi yake kwani ninavo mimi amekwisha uona ukweli, ni yeye kuamua ama awaridihshe watu wa ccm au asimamie ukweli
 
Huo ni mtihani kwake na serikali yake. Hofu yangu ni kuwa sisem na serikali ya JK ni wasanii sana wasije wakapiga usanii hapa.:A S 465:
 
Mkuu Ibrah hawezi watia aibu wabunge wake,bado anawahitaji,atasaini. Lakini mwisho wa majadiliano yanayoendelea utafanyiwa marekebisho. Mazungumzo yanayoendelea muda huu yalipaswa kufanyika kabla muswada haujaletwa bungeni ili kupata muafaka lakini katika hali ya kusikitisha yakafanyika madudu kama tulivyoona!
 
Walipewa nafasi ya kujadili marekebisho ya Katiba; CDM wakaleta hoja zao kupitia Waziri kivuli wa Sheria; Tundu Lisu, Bunge likapokea hoja lkn badala ya kujadili hoja wakaleta vioja, wakaanza kumjadili Lisu na kupitisha huo mswada.
Sasa JK anatakiwa kusaini ifikapo Dec 1. Kwa hali ilivyo, kuna dalili JK huenda asisaini na kurudisha mswada Bungeni ujadiliwe upya, maana hana chakupoteza, ni fursa kurudisha umaarufu wake maana hana cha kupoteza 2015.
Aibu yaja Kwa Bunge, Wabunge wa CCM, CUF na Spika Makinda
Ibra, si mpaka!.
Kwani Alhamisi iko mbali?. Ikifika na hajasaini ndipo njoo na hii hoja!
 
Back
Top Bottom