Aibu ya Mwaka: Ina maana mkutano wa Wenje ulikuwa na lengo la kulaghai wanachama? Je, ametumwa na nani?

Aibu ya Mwaka: Ina maana mkutano wa Wenje ulikuwa na lengo la kulaghai wanachama? Je, ametumwa na nani?

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Kwa taarifa ya katibu mkuu wa CHADEMA, ni wazi kuwa Press ya leo ya ndugu Wenje ililenga kulaghai wanachama na wajumbe kwa lengo la kujipatia kura.

Je, alitumwa na nani kufanya hivyo? Je, amewafanya wajumbe kuwa wajinga kiasi hicho? Kwa taarifa ya Mh. Mnyika ni wazi kuwa hata mambo mengine aliyozungumza yasiyo husiana na Join the Chain huenda ni ya ulaghai na udalali.

Hii ni aibu kwa Wenje na Mbowe.
 
IMG-20250116-WA0060.jpg
 
Tuhuma kuhusu Wenje ni za kweli kwamba ni dalali na wamekula hela,sasa anashindwa kuleta jibu sahihi anaamua tu kupaka wote mavi, nadhani kama Makamu mwenyekiti anapigiwa kura basi anaweza asipate kabisa,nadhani hata baada ya uchaguzi wa chama hatapitishwa agombee ubunge tena maana hana mvuto ni roporopo tu
 
Kwa taarifa ya katibu mkuu wa CHADEMA, ni wazi kuwa Press ya leo ya ndugu Wenje ililenga kulaghai wanachama na wajumbe kwa lengo la kujipatia kura.

Je, alitumwa na nani kufanya hivyo? Je, amewafanya wajumbe kuwa wajinga kiasi hicho? Kwa taarifa ya Mh. Mnyika ni wazi kuwa hata mambo mengine aliyozungumza yasiyo husiana na Join the Chain huenda ni ya ulaghai na udalali.

Hii ni aibu kwa Wenje na Mbowe.

Ilikuwa ni press ya hovyo sana.

Naanza kuamini kuwa huyu kijana ni DALALI WA SERIKALI. Kaulizwa maswali ya msingi kaxhindwa kuyajibu kwa ufasaha. Aliyemtuma kamuangusha.
 
Kwa taarifa ya katibu mkuu wa CHADEMA, ni wazi kuwa Press ya leo ya ndugu Wenje ililenga kulaghai wanachama na wajumbe kwa lengo la kujipatia kura.

Je, alitumwa na nani kufanya hivyo? Je, amewafanya wajumbe kuwa wajinga kiasi hicho? Kwa taarifa ya Mh. Mnyika ni wazi kuwa hata mambo mengine aliyozungumza yasiyo husiana na Join the Chain huenda ni ya ulaghai na udalali.

Hii ni aibu kwa Wenje na Mbowe.
Leo imekuwa siku mbaya sana kwa kambi ya MBOWE na CCM kwa ujumla.
 
Tuhuma kuhusu Wenje ni za kweli kwamba ni dalali na wamekula hela,sasa anashindwa kuleta jibu sahihi anaamua tu kupaka wote mavi, nadhani kama Makamu mwenyekiti anapigiwa kura basi anaweza asipate kabisa,nadhani hata baada ya uchaguzi wa chama hatapitishwa agombee ubunge tena maana hana mvuto ni roporopo tu
Hata uenyekiti Kanda ya Victoria alipata kwa magumashi na lazima tunamvua tu ametuabisha sana sisi wa Kanda ya ziwa
 
Hata uenyekiti Kanda ya Victoria alipata kwa magumashi na lazima tunamvua tu ametuabisha sana sisi wa Kanda ya ziwa
Anakaa chini kabisa kwa makusudi kutunga uongo kwamba hela za the chain ilikuwa ya kumpindua Mbowe,yule jamaa hawezi kuaminika tena sidhani kwa yote aliyoongea hata 10% ya ukweli hamna
 
Bwana Njewe kajipiga own goal yeye na Chairman ambae ana support haiwezekani ukawa na think tank ya MMM,Ntobi,Mzee wa Zikomo aka Machinery ya Chama,Gusu,Njewe,Mungai halafu utegemee wakupe inputs zamaana
 
Anakaa chini kabisa kwa makusudi kutunga uongo kwamba hela za the chain ilikuwa ya kumpindua Mbowe,yule jamaa hawezi kuaminika tena sidhani kwa yote aliyoongea hata 10% ya ukweli hamna
Bora asinge ongea chochote.
 
Hata uenyekiti Kanda ya Victoria alipata kwa magumashi na lazima tunamvua tu ametuabisha sana sisi wa Kanda ya ziwa
Dogo PAMBALU mwenyekiti wa bavicha taifaa alie maliza muda wake ilibidi ajitoe kwenye UCHAGUZI
maana WENJE alitumia misuli ya pesa kushinda Victoria Ila mjaluo ojwang hanaga hoja na kwa Sasa hana CREDITILITY YA KUA MWANACHADEMA HATA KWA DAKIKA MBILI
 
Back
Top Bottom