L Lampart Senior Member Joined Sep 18, 2009 Posts 139 Reaction score 2 Nov 16, 2009 #21 MaMkwe said: 1. Hakuna wataalamu wa afya wa kutosha na pale ambapo wapo hiko vijijini wengine hujishughulisha zaidi na mambo yao binafsi k.m kulimisha mashamba, biashara nk. wakiwaacha wananchi wakiteseka. Click to expand... MaMkwe, sasa unawalaumu hao wataalamu kwa mambo yao binafsi? Bila ya hayo mambo yao binafsi watakula wapi? Polisi????
MaMkwe said: 1. Hakuna wataalamu wa afya wa kutosha na pale ambapo wapo hiko vijijini wengine hujishughulisha zaidi na mambo yao binafsi k.m kulimisha mashamba, biashara nk. wakiwaacha wananchi wakiteseka. Click to expand... MaMkwe, sasa unawalaumu hao wataalamu kwa mambo yao binafsi? Bila ya hayo mambo yao binafsi watakula wapi? Polisi????