Ahahah nimeishia kucheka tu...Ujinga tu, anatafuta kiki kwa lazima, kwani ajabu gani akitongozwa??Basi atakuwa anamzimikia jamaa kishikaj halafu nahisi jamaa alivyoona anazungushwa akaamua mtema, kanaumia roho sura yenyewe kama ya baba
Jogoo hafi kwa utitiri atiii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kula za mbavu kwa mwanaume anapotongoza ni jambo la kawaida,ukiogopa kutoswa mbunye utaishia kuzisikia tu maredioni
ZENA NA BETINA KWENYE SANA