C Crispin Nyoni JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 413 Reaction score 90 Jul 22, 2014 #1 Chukua hydrogen peroxide tia kwenye beseni la maji koroga. Zamisha uso sekunde 30 tu. Refer Dr. Harch's method.
Chukua hydrogen peroxide tia kwenye beseni la maji koroga. Zamisha uso sekunde 30 tu. Refer Dr. Harch's method.
C Crispin Nyoni JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 413 Reaction score 90 Jul 22, 2014 Thread starter #2 Nimepokea email kwa Numerologist Aidan ambaye ananitumia kila wiki. Email ya safari hii ndo inaeleza habari hizo. Ajabu
Nimepokea email kwa Numerologist Aidan ambaye ananitumia kila wiki. Email ya safari hii ndo inaeleza habari hizo. Ajabu
C Crispin Nyoni JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 413 Reaction score 90 Jul 22, 2014 Thread starter #3 Naomba msaada wenu wadau kama hii njia inaswihi(kubalika)au la. Anasema njia hii imebuniwa na Dr. Harch imesaidia wengi.
Naomba msaada wenu wadau kama hii njia inaswihi(kubalika)au la. Anasema njia hii imebuniwa na Dr. Harch imesaidia wengi.
SHIEKA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 8,240 Reaction score 4,265 Jul 22, 2014 #4 Mada yako inaelekeza watu wafanye kitu chenye manufaa kwa afya zao, lakini ajabu unaelezea kwa harakaharaka bila kufafanua. Hiyo hydrogen peroxide ikoje na inapatikana wapi?Hebu toa link ya huyo mtaalamu aliyekuelekeza tumsome.
Mada yako inaelekeza watu wafanye kitu chenye manufaa kwa afya zao, lakini ajabu unaelezea kwa harakaharaka bila kufafanua. Hiyo hydrogen peroxide ikoje na inapatikana wapi?Hebu toa link ya huyo mtaalamu aliyekuelekeza tumsome.
Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,991 Reaction score 24,211 Jul 22, 2014 #5 eeeh, ngoja wamomonyoke nyuso
Shing Yui JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 15,168 Reaction score 38,049 Jul 21, 2018 #6 Basi nawafufulia uzi
Medecin JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 8,221 Reaction score 22,496 Jul 21, 2018 #7 Hapa unaweza kuua macho hivi hivi
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Jul 22, 2018 #8 Long Range Missile
MWINDAJI HARAMU JF-Expert Member Joined Dec 21, 2013 Posts 210 Reaction score 295 Jul 22, 2018 #9 Wakuu hiyo hydrogen peroxide iko sensitive na macho, VP ikikuingia wakati wa tendo hilo?