AIIB: Kwa nini Tanzania hatukujiunga na Benk ya Kimataifa ya China ? Ni sawa kutegemea IMF & WB?

AIIB: Kwa nini Tanzania hatukujiunga na Benk ya Kimataifa ya China ? Ni sawa kutegemea IMF & WB?

TUJITEGEMEE

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
25,225
Reaction score
25,488
China iko mbioni kufungua Benki ya Kimataifa ya Maendeleo itakayokuwa na hadhi karibu sawa na IMF na WB baadaye mwaka huu. Imetoa furusa kwa mataifa yote kushiriki katika uanzishwaji wake kama washirika muhimu. Mwisho wa furusa hiyo ni 31/03/2015.

Ndiyo najiuliza wachumi na wana mipango wa nchi hii hawakuona furusa katika benki ya kimataifa wa mshirika wetu muhimu China ? Au hatukona umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wetu na China katika hili. Urusi wao wameiona furusa hiyo.

Boosting Bilateral Ties: Russia Vows to Join Chinese-led Development Bank / Sputnik International
 
Ni kweli mkuu lakini furusa inaisha 31/03/2015. Tulitakiwa tutume maombi mapema. Kwa mwakani tutapewa ushirika usiyo na nguvu katika benki hiyo.
 
Ile ya BRICS iliishia wapi?
BRICS ni muungano wa kushirikiana hasa kiuchumi (siyo benk) kwa mataifa ya Brazil, Russia, India, China na South Africa. Bado muungano huu upo na unaendelea. Na kudhibitisha hili kati ya nchi washirika hakuna mwenye mzozo na mwezake. Na kama upo unamalizwa kimya kimya.
 
BRICS ni muungano wa kushirikiana hasa kiuchumi (siyo benk) kwa mataifa ya Brazil, Russia, India, China na South Africa. Bado muungano huu upo na unaendelea. Na kudhibitisha hili kati ya nchi washirika hakuna mwenye mzozo na mwezake. Na kama upo unamalizwa kimya kimya.

Niliwahi sikia wanataka anzisha bank yao
 
Back
Top Bottom