Mama Big
Kuna taarab moja ina maneno kama haya (sijuimwimbaji)
"..Kila uonacho wakitolea macho ..wataka kukichukua..."
"..Japo siyo chako wakitolea macho..wataka kukichukua.."
E.t.c
Pamoja na Aliyetupa Alitupa bure lakini Alituwekea masharti ya namna ya kukitumia siyo kumpa kila mtu.............eti kwa sababu Aliyetupa Alitupa bureeeeeeeeeeeeee.................basi sasa liwe bora liende hilo halitawezekana...........inabidi utakayempa lazima kweli awe anastahili na siyo kila mtu anastahiili..........
Absolutely right...
duh hiyo kali kwani kanisa lile pale halifanyi mamboyake?nasikia hiyo biashara ilishasahaulika pale siku hizi ni uwanja wa sifa jamani loh...bwana yesu asifiwe...
hahahahaaaaaaaaa... busted!!
Dude... dah... what a female language
WEWEEEEE
still posted via mobile! ngoja nimwendee hewani.finest upo?bgrta?
maneno aya mistak ..apana skia
nan alienda kumpokea mama bg jana?
NAOMBENI MSAADA MAMA BIG NA WENGINE, eti kwa wale wenye maumivu makali wakati wa MP, inawezekana kuyapunguza kwa kufanya mapenz siku chache kabla ya mwezi kuanza? vp hii inahusiana vp kitaalam na maumivu ambayo mtu anapitia kutokana na mzunguko wa yai?
noambeni msaada pliz
Nyegelesha, nakuomba faragha mara moja
Nyegelesha, nakuomba faragha mara moja
Wewe wasema wenzako watenda na ukijitia hutaki wenzio wataka na wanagawa kama njugu
Uko nje ya maada mwenzie anadai uwanja wa fisi wa kusini mwa Tanzania
duh hiyo kali kwani kanisa lile pale halifanyi mamboyake?nasikia hiyo biashara ilishasahaulika pale siku hizi ni uwanja wa sifa jamani loh...bwana yesu asifiwe...