Aina 20 za wasichana lazima utumie kondomu

21. Akiwa ni shabiki wa Simba. Condom tafadhari

22. Akiwa anapenda kujisifia na kujikweza sana akiwa na marafiki yake. Vaa hata mbili kwa mkupuo

23. Akiifinyia tu kwa ndani, amka kwanza, kisha vaa kondomu uendelee na mchezo

24. Akitoa milio ya kiulaghai wakati wa kusasambuana, chomoa mashine, vaa kondomu kwanza
 
JF verified member πŸ‘¨β€πŸ«
 
Kama ana bet na kucheza bonanza, pulltable piga kavu!!
 
Nakweli wazee... Nakazia Condom
 
Ila inakuaje unamla demu ana Ukimwi na haupati.

Kuna demu ana ngoma namlaga sana bila ndom na nmpakia mkongo / jogoo la shamba... Namnywea spirit lkn ngoma sipat hii imekaaje


[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] hapa kwnywe nataka funga mkongo had saa 3 hiv nimeiva saa 4 nimpelekee moto mbaya
 
Kama katika utafutaji wake alifika sehemu zenye machimbo ya madini(migodi mikubwa na midogo) kondomu mbili zitumike

Kama anavuta shisha kondomu tatu na kuendelea

Kama anavaa sandal za manyoya na vibegi vya watoto kondomu moja

Kama ana diss android na hana kazi yoyote ya kumpatia chochote kitu kondomu nne na kuendelea ziwe karibu
 


Condom na KY lazima, ni kama mapacha, zitumie pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…