Aina 5 za aliens wanaowasiliana na dunia

Alien hawezi kuwa mzungu ndio maana ameitwa Alien

Kama angekuwa mzungu,angepoteza sifa ya kuitwa Alien

Allah ni mungu wa waarab,Jehovah ni mfalme wa wayahudi

Wewe black unda wako!
His emperior majesty haile sellassie kings of kings lord of lord's.
 
Wewe ndugu yangu kichakaa man bado unawaamini wakoloni wazungu kwa hizi kitu?

Hawa jamaa kuna kitu wanakiandaa so, wanachukua hisia za walio nyuma ya technologia kama wewe na kuweka kwenye mitandao data mpya kila uchao kwa lengo la kuja kufanikisha kile wanachokiita "new discovery".

Chukua comment ya mshana jr #2 ikusaidie pia.
 
The idea that created reality the energy that will never be vanished or banished kwakuwa hata wewe u sehemu ya hiyo idea

Mpaka sasa tunajua karibu kila kitu kuhusu this Universe!Na hakuna haja ya kuwa na mungu na hata kazi zake hazionekani,Y should we waste our time assuming or believing in Imaginary being ?.
The Universe is the way it iz either we like or not,the presence of the intelligence designer depends on our minds!.
Karibu katika ulimwengu huru
........Free Ideas...
 
Bado sana tena sana kujua kila kitu . siku mmoja wetu atakapoweza kujua the next moment atakuwa wapi au atafanya nini au siku mmoja wetu atakapoweza kusoma mawazo ya wengine kwa usahihi hapo ndio tunaweza kujinasibu kuwa tunajua kitu la sivyo tutabaki hapa tulipo tulipishana lugha
 
Kuna swali ambalo watu wengi wanajiuliza lakini hawataki kwenda kwa kina

Kama ukristo ni dini ya kweli,kwanini ianzie kwa wayahudi kwanza?

Kama Jehovah ni Mungu mwenye upendo na asiye na ubaguzi kwanini hakujifunua kwa mataifa yote,jamii zote,na watu wote?

Kwanini alijifunua kwa wayahudi tu ilihali wanadamu wote ni sawa machoni pake?

Na uislam pia,kwanini Allah alishusha koran kwa waarab kwanza badala ya kuishusha kwa mataifa yote na kabila zote?

Kwanini hakuna nabii aliyetoka Afrika,china,korea,india,au ugiriki

Inakuaje Mungu mwenye upendo wote asiye na ubaguzi,aliyewaumba watu wote awe na taifa teule?
 

Uwongo mtupu, umenipotezea wakati wangu bure, na logoff.
 
Kuna udanganyifu mwingi sana kwenye hawa viumbe kwakuwa wakati wote huonekana huko ulaya tuu
Sijasikia hata siku moja Alliens wameonekana uarabuni china wala Africa

Wazungu wanatumia kila mbinu kutuamisha kwamba hakuna MUNGU...eti kwao kila kitu ni evolution! Ukichunguza vizuri hii dhana ya aliens inajaribu kututoa kwenye imani ya KI-MUNGU na kutupeleka kwenye imani kwamba dunia inajiendesha yenyewe through evolution ambayo husababisha mabadiliko ya viumbe through mutation and cloning(kwa wale ambao mabadiliko yao yalifika mbali hadi wakakosa uwezo wa kuzaana).

Ni kweli kuna Aliens walitajwa kwenye vitabu vya MUNGU, yaani Biblia na Quran. Ila ufafanuzi uliotolewa na mleta mada haujawaelezea kwa ufasaha. Walioelezewa na Biblia ni waliotokana na mwingiliano kati ya malaika waasi na binadamu. ikasababisha kuwepo kwa kizazi cha wanadamu wenye skills za ajabu nacho kikamfundisha binadamu maarifa mengi ikiwemo UNAJIMU, UTABIBU, ENGINEERING, MATHEMATICS, NAVIGATION nk ambayo kwa asili mwanadamu hakuumbwa akiwa na ufahamu nayo. ALIENS hawa katika Biblia waliitwa WANEFILI(NEPHILIMS). Mambo mengi ambayo WANEFILI waliwafundisha binadamu yalimfanya binadamu amwasi sana mwenyezi MUNGU kwani mwanadamu alijawa na kiburi cha kuamini uwezo wake mwenyewe kuliko kumwamini mwenyezi MUNGU. Hali hii ilisababisha uasi uongezeke sana juu ya uso wa nchi. MUNGU alitumia GHARIKA ya NUHU kuwaangamiza WANEFILI kutoka kwenye uso wa dunia kwa kumuamuru NUHU aingize katika SAFINA viumbe walio SAFI TU!

Hata hivyo tamaduni na maarifa mengi ambayo WANEFILI walimfundisha binadamu hazikuweza kufutika zote. Wanadamu bado waliendelea kurithishana tamaduni hizo vizazi hadi vizazi, na sasa hivi zimeshamiri mno duniani. MAREKANI NDIO KINARA wa tamaduni hizi mbovu ambao ziko kinyume na MUNGU na anazi-advocate kwa nguvu sana duniani kwa kutumia dhana ya DEMOCRACY.

Kwahiyo kuweni macho Wandugu
 
Eee hilo dili alishike prof. Tib..., au Mzee wa vijicent , au wengine na wengine
Hawatarudi angani tena hao.
[emoji38] [emoji38] et hawatarud tena angani dah tz tuna mamaster mind kishenzi yani watu wanasoma fursa hadi katikati ya maombi kudadek
 
Hivi kumbe ya Armstrong ilikuwa fiksi?
fiksi tu warusi ndio wamewaumbua we nenda youtube video zipo za kumwaga huko hutaona uongo wao laivu kama kuonekana kwa kopo la pepsi ardhini,bendera kupepea wakati mwezini hakuna hewa sasa bendera gani inapepea sehemu ambayo hakuna hewa,ilikuwa ni movie tu director ni cameroon wa studio za 20 century fox
 
Samahani naomba nikuulize kuhusu huo ulimwengu huru,
Je mtu anavyofariki kwanza kipi hutoa roho yake? Huipeleka wapi? Na je huko inakuaje?

Au wenzetu mnaamini nini juu ya kifo?
Naomba unielimishe tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…