fiksi tu warusi ndio wamewaumbua we nenda youtube video zipo za kumwaga huko hutaona uongo wao laivu kama kuonekana kwa kopo la pepsi ardhini,bendera kupepea wakati mwezini hakuna hewa sasa bendera gani inapepea sehemu ambayo hakuna hewa,ilikuwa ni movie tu director ni cameroon wa studio za 20 century fox