Aina gani kati ya PhD kati ya hizi ni nzuri zaidi?

Aina gani kati ya PhD kati ya hizi ni nzuri zaidi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mimi nafikiria PhD nzuri ni ile Jopo la Maprofesa linaitana na kukujadili baada ya kuona Utendaji/ Uwezo/ Ubunifu wako Uliotukuka Katika eneo fulani ambao hata watafiti hawajaufikia.

Baadae Jopo la Maprofesa linakuita na kukuomba Kwa ruhusa Yako Wakutunuku PhD.

Tofauti na hizi za madarasani za akina Suleiman wa Kisarawe ambazo hata tafiti zake ni za google.

Wewe unasemaje Dr Mshana Jr 😂
 
Mimi nafikiria PhD nzuri ni ile Jopo la Maprofesa linaitana na kukujadili baada ya kuona Utendaji/ Uwezo/ Ubunifu wako Uliotukuka Katika eneo fulani ambao hata watafiti hawajaufikia

Baadae Jopo la Maprofesa linakuita na kukuomba Kwa ruhusa Yako Wakutunuku PhD

Tofauti na hizi za madarasani za akina Suleiman wa Kisarawe ambazo hata tafiti zake ni za google

Wewe unasemaje Dr Mshana Jr [emoji23]
Mnataka ku-justify nini? uchawa ni kazi ngumu pia.
 
Biden, Putin, Kagame, Netanyahu, Kim Jong-un, Olaf Scholz, Emmanuel Macron, Trump, Xi Jinping, Keir Starmer yaani wote hawa hawana cha maana walichofanya duniani ndiyo maana hawatunukiwi PhD lakini Rais anayeongoza kwa kuomba misaada ameshindwa kutumia rasilimali ndani ya nchi yake ameruhusu ufisadi, utekaji, uaji na wizi wa mali za umma ndani ya miaka 3 tayari ana PhD 6. Shame on us
 
1000016377.jpg
 
Mimi nafikiria PhD nzuri ni ile Jopo la Maprofesa linaitana na kukujadili baada ya kuona Utendaji/ Uwezo/ Ubunifu wako Uliotukuka Katika eneo fulani ambao hata watafiti hawajaufikia

Baadae Jopo la Maprofesa linakuita na kukuomba Kwa ruhusa Yako Wakutunuku PhD

Tofauti na hizi za madarasani za akina Suleiman wa Kisarawe ambazo hata tafiti zake ni za google

Wewe unasemaje Dr Mshana Jr 😂
🤣Ubinadamu kazi
 
Mimi nafikiria PhD nzuri ni ile Jopo la Maprofesa linaitana na kukujadili baada ya kuona Utendaji/ Uwezo/ Ubunifu wako Uliotukuka Katika eneo fulani ambao hata watafiti hawajaufikia.

Baadae Jopo la Maprofesa linakuita na kukuomba Kwa ruhusa Yako Wakutunuku PhD.

Tofauti na hizi za madarasani za akina Suleiman wa Kisarawe ambazo hata tafiti zake ni za google.

Wewe unasemaje Dr Mshana Jr 😂
Honorary degrees eg Honoris Causa sio Doctor of Philosophy (PhD) acha

kuchanganya mambo na acha uchawa. Yohana Mbatizaji hakuwa
chawa alikuwa mkweli mpaka akaufia ukweli huo kwa kukatwa kichwa
na Herode.
 
Back
Top Bottom