Watu8 Ila mkuu ulopotea sana kulikoni wakati wewe ndio ulinikaribisha humu? Au majukumu yalibana?
"ᴬᵐᵇⁱᵗⁱᵒⁿ ᶜᵃⁿ ᵇᵉ ᵃ ᵛⁱʳᵗᵘᵉ ʷʰᵉⁿ ⁱᵗ ᵈʳⁱᵛᵉˢ ᵘˢ ᵗᵒ ᵉˣᶜᵉˡˡ"
Kama kuna mtu anahitaji tuwasiliane mzigo unaondoka next week, malipo ukifika. Unatoka UK
Bei inaanzia 120,000 inategemea aina ya mashine unayoitajiBei zikoje
Kwa sasa kama ni mashine ya kukaa nayo tu home sio biashara oraimo iz the bestBei inaanzia 120,000 inategemea aina ya mashine unayoitaji
Ndio unayotumia wewe?Kwa sasa kama ni mashine ya kukaa nayo tu home sio biashara oraimo iz the best
Inafaa kwa uchumi wetu pia inakidhi vigezo coz unachaji ndio unatumia so hata kijijin utapetaNdio unayotumia wewe?
Pia pata japo moja ya kuchaji itakufanya uendelee na kazi bila umeme wa makamba pindi ukikata.Nataka msaada wa kujua ni aina gani ya mashine za kunyolea nywele zenye ubora na zenye kudumu kwa mda mrefu, kama unajua na bei yake na sehemu zinapopatikana ningependa nisaidiwe, lengo langu ni kufungua BARBER SHOP.
Nahitaji Mkuu,utaniPM tafadhaliKama kuna mtu anahitaji tuwasiliane mzigo unaondoka next week, malipo ukifika. Unatoka UK
Hv SIDO hawawezi kutengeneza mashine za kunyolea?Wahl bado zipo vizuri kwa almost 20yrs now, sema bei zake pia zipo juu around 125k-140k, na kama ukitafuta hakikisha umeipata original toka US
wahl home cutting machine:
Jamii Forums mobile app
Kwa tanzania hii sidhani, maana hata topthpick tuna import!Hv SIDO hawawezi kutengeneza mashine za kunyolea?
Waweze akati hata zile pambastick zinToka uchinaHv SIDO hawawezi kutengeneza mashine za kunyolea?
mgao wa V8 si wanapata pia?Waweze akati hata zile pambastick zinToka uchina