Aina hii ya utajiri wa kishirikina ndio inayoumiza watu wengine

Aina hii ya utajiri wa kishirikina ndio inayoumiza watu wengine

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,047
Reaction score
1,832
Kuna aina nyingi za utajiri wa kishirikina ambazo zinazungumzwa kila siku, ila kuna aina hii ya utajiri ambao watu wameunyamazia lakini unaumiza watu wengine katika utafutaji. Kuna watu kazi yao ni kuharibu nyota za watu na kuzichukua wao

Anaweza kuja kwako akakuazima pesa kidogo akaenda kutumia hela yako hiyo hiyo kukuchafulia nyota yako. Mtu huyu anaweza asikurudishie hela yako kabisa, au akairudisha hela ile ile baada ya kuichafua.

Unaweza kushangaa mbona mtu huyu yuko vizuri kiuchumi lakini ananiazima mimi choka mbaya hela.

Mungu atulinde na hili katika utafutaji wetu
 
Kuna aina nyingi za utajiri wa kishirikina ambazo zinazungumzwa kila siku, ila kuna aina hii ya utajiri ambao watu wameunyamazia lakini unaumiza watu wengine katika utafutaji

Kuna watu kazi yao ni kuharibu nyota za watu na kuzichukua wao

Anaweza kuja kwako akakuazima pesa kidogo akaenda kutumia hela yako hiyo hiyo kukuchafulia nyota yako

Mtu huyu anaweza asikurudishie hela yako kabisa, au akairudisha hela ile ile baada ya kuichafua

Unaweza kushangaa mbona mtu huyu yuko vizuri kiuchumi lakini ananiazima mimi choka mbaya hela,

Mungu atulinde na hili katika utafutaji wetu
Hili nalo mkalitazame

USSR
 
Je, pesa niliyompa kwa njia ya Benki au Mpesa means haikugusa mikono yangu kabla ya kumfikia ina connection ipi na huu ulozi Mkuu.
Kuna aina nyingi za utajiri wa kishirikina ambazo zinazungumzwa kila siku, ila kuna aina hii ya utajiri ambao watu wameunyamazia lakini unaumiza watu wengine katika utafutaji

Kuna watu kazi yao ni kuharibu nyota za watu na kuzichukua wao

Anaweza kuja kwako akakuazima pesa kidogo akaenda kutumia hela yako hiyo hiyo kukuchafulia nyota yako

Mtu huyu anaweza asikurudishie hela yako kabisa, au akairudisha hela ile ile baada ya kuichafua

Unaweza kushangaa mbona mtu huyu yuko vizuri kiuchumi lakini ananiazima mimi choka mbaya hela,

Mungu atulinde na hili katika utafutaji wetu
 
Kuna aina nyingi za utajiri wa kishirikina ambazo zinazungumzwa kila siku, ila kuna aina hii ya utajiri ambao watu wameunyamazia lakini unaumiza watu wengine katika utafutaji

Kuna watu kazi yao ni kuharibu nyota za watu na kuzichukua wao

Anaweza kuja kwako akakuazima pesa kidogo akaenda kutumia hela yako hiyo hiyo kukuchafulia nyota yako

Mtu huyu anaweza asikurudishie hela yako kabisa, au akairudisha hela ile ile baada ya kuichafua

Unaweza kushangaa mbona mtu huyu yuko vizuri kiuchumi lakini ananiazima mimi choka mbaya hela,

Mungu atulinde na hili katika utafutaji wetu
Well said mkuu, lakini najua wapo watakaokupinga, hawajui huu mziki ni mzito sana
 
Hii michezo michafu ipo sana maofisini na kwenye biashara, yaani unakuta mfanyabiashara mwenzako wa jirani anakuja kuomba chenji, hataree kwani pesa aliyokuja nayo kuiombea chenji ni chafuu, imerogewa kuja kukufunga na kuichafua biashara yako
 
Je, pesa niliyompa kwa njia ya Benki au Mpesa means haikugusa mikono yangu kabla ya kumfikia ina connection ipi na huu ulozi Mkuu.
Pesa unayompa kwa njia ya miamala hawezi kuichafua, pesa mbaya ni ile unayompa kesh mkononi, hii ndio anaweza kuichafua halafu akakurudishia, kama hujui ukiingiza kwenye mzumguko wa biashara yako umekwisha, unashangaa biashara inaporomoka kiajabu ajabu, na kama sio mfanya biashara unashangaa hufanyi chochote cha maana zaidi ya kuchumia tumbo tu
 
Ni kweli inasumbua ila hata hao wahusika hawana raha wala starehe maishani mwao.. Pamoja na kwamba hawatumii nguvu wala kutoa jasho ila pia hawafanyi mambo ya maendeleo sanasana wanapata vihela vya kula kula hata kununua nguo nzuri pale wanapotaka hawaruhusiwi.

Mimi ninajirani yangu huyo mzee anaogopeka mtaa mzima hata maduka mengine hawapokei pesa yake. Lakini cha ajabu wiki mbili zilizopita wamekatiwa maji wanachota kwetu sie waliokuwa wakitudhulumu. Kila kitu wanachokula wanakopa ila kwenye kuomba chench wanatoa wekundu mpya kila siku. Hahaha.
 
Ni kweli inasumbua ila hata hao wahusika hawana raha wala starehe maishani mwao.. Pamoja na kwamba hawatumii nguvu wala kutoa jasho ila pia hawafanyi mambo ya maendeleo sanasana wanapata vihela vya kula kula hata kununua nguo nzuri pale wanapotaka hawaruhusiwi.

Mimi ninajirani yangu huyo mzee anaogopeka mtaa mzima hata maduka mengine hawapokei pesa yake. Lakini cha ajabu wiki mbili zilizopita wamekatiwa maji wanachota kwetu sie waliokuwa wakitudhulumu. Kila kitu wanachokula wanakopa ila kwenye kuomba chench wanatoa wekundu mpya kila siku. Hahaha.
Alafu cha ajabu anaswali yeye na familia yake kutwa nzima. Hakuna swala inawapita tangu ile ya alfajiri mpaka usiku.. Alituuzia hapa tulipojenga akapata milioni 24 ila baada ya mwezi kaanza kukopa. Akajenga choo cha nje hakijapauliwa mlango wa mabati wa kusogeza. Nyumba ya mke mkubwa ya zaman mabati yanapeperuka.. Yan hata ungekuwa prof huwez mwelewa maisha anayoishi.
 
Pesa unayompa kwa njia ya miamala hawezi kuichafua, pesa mbaya ni ile unayompa kesh mkononi, hii ndio anaweza kuichafua halafu akakurudishia, kama hujui ukiingiza kwenye mzumguko wa biashara yako umekwisha, unashangaa biashara inaporomoka kiajabu ajabu, na kama sio mfanya biashara unashangaa hufanyi chochote cha maana zaidi ya kuchumia tumbo tu
Mambo sio marahisi hivyo acha uongo
 
Kuna aina nyingi za utajiri wa kishirikina ambazo zinazungumzwa kila siku, ila kuna aina hii ya utajiri ambao watu wameunyamazia lakini unaumiza watu wengine katika utafutaji. Kuna watu kazi yao ni kuharibu nyota za watu na kuzichukua wao

Anaweza kuja kwako akakuazima pesa kidogo akaenda kutumia hela yako hiyo hiyo kukuchafulia nyota yako. Mtu huyu anaweza asikurudishie hela yako kabisa, au akairudisha hela ile ile baada ya kuichafua.

Unaweza kushangaa mbona mtu huyu yuko vizuri kiuchumi lakini ananiazima mimi choka mbaya hela.

Mungu atulinde na hili katika utafutaji wetu
hatari sana aisee!!
 
Back
Top Bottom