Ngwanakilala
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 774
- 1,464
Viongozi vijana nchini Tanzania wamegawanyika katika makundi mawili. (1) Real Leaders and (2) Leaders Wannabees.
Aina hizo mbili za viongozi wanaweza kutofautsiha kama ifuatavyo:
Viongozi wa kweli huwa hawafukuzii, kufuata na kulazimisha uongozi. Badala yake uongozi huwafuata wao. Hata pale wasipotaka kuwa viongozi with time hujikuta wamewekwa katika nafasi ya uongozi na watu, mazingira au matukio. Mfano Mzuri wa viongozi wa kweli ni John Mnyika. Kijana huyu mdogo anaweza uongozi na popote alipo apende asipende hujikuta amewekwa katika nafasi ya uongozi na mazingira, watu au matukio.
Leaders wannabees, on the other hand, hulazimisha, kupigania na kugombania uongozi kufa na kupona. Hawa ni wale watu wanaogombea kila uchaguzi unaotokea. Hawa ni viongozi wanaohonga hela nyingi, kupigana kufa na kupona na kufanya lolote liwezekanalo ili kupata nafasi ya uongozi.
Mifano michache ya leaders Wannabees ni William Malecela Le Mutuz na Shyrose Banji. Vijana hawa ni mfano mzuri wa Leaders Wannabees kwakuwa ni wao wenyewe tu wanaodhani wanaweza kuongoza na hivyo huwa wanagombea kila uchaguzi, hutumia muda na rasilimali nyingi kutafuta, kufukuza na kugombania uongozi kwa udi na uvumba. Kwa kiasi kikubwa hawa ni vijana wasiojijua wala kujifahamu wao wenye. Ni watu ambao wanashindwa kuelewa wao ni watu wa aina gani na hivyo wazingatie mambo gani katika maisha. Badala yake wao wanapoteza muda kwenye suala wasiloliweza la uongozi. Utawezaje kuongoza nafsi nyingine wakati wewe mwenyewe huijui nafsi yako (kipofu anajaribu kuonyesha njia). Msomaji jiulize wewe mwenyewe, je unategemea jambo lolote la maana kutoka kwenye ubunge wa Shyrose Banji?
Viongozi wa kweli wana wafuasi (followers). Huwezi kuwa kiongozi kama huna wafuasi. Wafuasi hufuata viongozi wa kweli wapende wasipende. Leaders Wannabees, on the other hand huwa hawana wafuasi. Hata wanapolazimisha na kupata nafasi ya uongozi hakuna mtu yeyote atakaevutiwa kuwa mfuasi wao. If anything huwa wanaishia kuwa na vibaraka(puppets) wanaojipendekeza kwao ili kujipatia mradi wao (tumikia kafiri).
Mfano mzuri wa Leaders Wannabees -- wenye kundi la vibaraka -- ni Mfalme Suleiman wa Tanzania. Mzee huyu amezungukwa na kundi kubwa la vibaraka walioko busy kusema sawa mzee ili wajipatie mradi wao. Huyu Mzee ni mfano mzuri wa kiongozi feki asiye na wafuasi. Benno Malisa wa UVCCM ni mfano mwengine mzuri wa watu waliopata nafasi ya uongozi lakini wakashindwa kujipatia wafuasi kwakuwa hakuwa na uwezo, wala sifa ya uongozi.
Viongozi wa kweli wanasifa na uwezo wa kuongoza. Ukipata nafasi ya kuwajua viongozi wa kweli wewe mwenyewe utaona kuwa ni watu wenye sifa na uwezo wa kuongoza (Charisma). Ni watu jasiri, wasiofuata mkumbo, wenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu na kusimamia maamuzi yao .Wakipewa nafasi ya uongozi, hufanya kazi zao kwa ustadi mkubwa unaoleta manufaa kwa wanaowaongoza. Leaders Wannabees on the other hand huwa hawana sifa wala uwezo wa kuongoza. Wakipata nafasi ya kuongoza hufanya mambo yasiyo na manufaa na kuishia kujinufaisha wao binafsi. Ni watu dhaifu, wakufuata mkumbo, wasio na uwezo wa kufanya maamuzi magumu au kusimamia maamuzi magumu.
Viongozi wa kweli ni watu wanaosimama kwa miguu yao wenyewe kiuongozi (self made). Hawabebwi na majina, maGod Father au upendeleo. Leaders Wannabees on the other hand ni watu wasio na uwezo wa kusimama wenyewe (they are not self made). Ni watu wanaotegemea majina ya ukoo au wazazi. Na ni watu wanaopata upendeleo wa wazazi au ujamaa ili kukwea ngazi za uongozi .
Viongozi wa kweli watadumu na kuwa na maisha marefu katika Nyanja ya uongozi. Leaders Wannabees ni upepo tu- Wanakuja na kupita.
Aina hizo mbili za viongozi wanaweza kutofautsiha kama ifuatavyo:
Viongozi wa kweli huwa hawafukuzii, kufuata na kulazimisha uongozi. Badala yake uongozi huwafuata wao. Hata pale wasipotaka kuwa viongozi with time hujikuta wamewekwa katika nafasi ya uongozi na watu, mazingira au matukio. Mfano Mzuri wa viongozi wa kweli ni John Mnyika. Kijana huyu mdogo anaweza uongozi na popote alipo apende asipende hujikuta amewekwa katika nafasi ya uongozi na mazingira, watu au matukio.
Leaders wannabees, on the other hand, hulazimisha, kupigania na kugombania uongozi kufa na kupona. Hawa ni wale watu wanaogombea kila uchaguzi unaotokea. Hawa ni viongozi wanaohonga hela nyingi, kupigana kufa na kupona na kufanya lolote liwezekanalo ili kupata nafasi ya uongozi.
Mifano michache ya leaders Wannabees ni William Malecela Le Mutuz na Shyrose Banji. Vijana hawa ni mfano mzuri wa Leaders Wannabees kwakuwa ni wao wenyewe tu wanaodhani wanaweza kuongoza na hivyo huwa wanagombea kila uchaguzi, hutumia muda na rasilimali nyingi kutafuta, kufukuza na kugombania uongozi kwa udi na uvumba. Kwa kiasi kikubwa hawa ni vijana wasiojijua wala kujifahamu wao wenye. Ni watu ambao wanashindwa kuelewa wao ni watu wa aina gani na hivyo wazingatie mambo gani katika maisha. Badala yake wao wanapoteza muda kwenye suala wasiloliweza la uongozi. Utawezaje kuongoza nafsi nyingine wakati wewe mwenyewe huijui nafsi yako (kipofu anajaribu kuonyesha njia). Msomaji jiulize wewe mwenyewe, je unategemea jambo lolote la maana kutoka kwenye ubunge wa Shyrose Banji?
Viongozi wa kweli wana wafuasi (followers). Huwezi kuwa kiongozi kama huna wafuasi. Wafuasi hufuata viongozi wa kweli wapende wasipende. Leaders Wannabees, on the other hand huwa hawana wafuasi. Hata wanapolazimisha na kupata nafasi ya uongozi hakuna mtu yeyote atakaevutiwa kuwa mfuasi wao. If anything huwa wanaishia kuwa na vibaraka(puppets) wanaojipendekeza kwao ili kujipatia mradi wao (tumikia kafiri).
Mfano mzuri wa Leaders Wannabees -- wenye kundi la vibaraka -- ni Mfalme Suleiman wa Tanzania. Mzee huyu amezungukwa na kundi kubwa la vibaraka walioko busy kusema sawa mzee ili wajipatie mradi wao. Huyu Mzee ni mfano mzuri wa kiongozi feki asiye na wafuasi. Benno Malisa wa UVCCM ni mfano mwengine mzuri wa watu waliopata nafasi ya uongozi lakini wakashindwa kujipatia wafuasi kwakuwa hakuwa na uwezo, wala sifa ya uongozi.
Viongozi wa kweli wanasifa na uwezo wa kuongoza. Ukipata nafasi ya kuwajua viongozi wa kweli wewe mwenyewe utaona kuwa ni watu wenye sifa na uwezo wa kuongoza (Charisma). Ni watu jasiri, wasiofuata mkumbo, wenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu na kusimamia maamuzi yao .Wakipewa nafasi ya uongozi, hufanya kazi zao kwa ustadi mkubwa unaoleta manufaa kwa wanaowaongoza. Leaders Wannabees on the other hand huwa hawana sifa wala uwezo wa kuongoza. Wakipata nafasi ya kuongoza hufanya mambo yasiyo na manufaa na kuishia kujinufaisha wao binafsi. Ni watu dhaifu, wakufuata mkumbo, wasio na uwezo wa kufanya maamuzi magumu au kusimamia maamuzi magumu.
Viongozi wa kweli ni watu wanaosimama kwa miguu yao wenyewe kiuongozi (self made). Hawabebwi na majina, maGod Father au upendeleo. Leaders Wannabees on the other hand ni watu wasio na uwezo wa kusimama wenyewe (they are not self made). Ni watu wanaotegemea majina ya ukoo au wazazi. Na ni watu wanaopata upendeleo wa wazazi au ujamaa ili kukwea ngazi za uongozi .
Viongozi wa kweli watadumu na kuwa na maisha marefu katika Nyanja ya uongozi. Leaders Wannabees ni upepo tu- Wanakuja na kupita.