Aina mbili za Wachawi

Aina mbili za Wachawi

Shemasi Jimmy

Member
Joined
Apr 23, 2021
Posts
93
Reaction score
104
1. Wachawi wa kawaida wanaojulikana; wanaopaa na Nyungo, na kuloga na kuwanga!. Hawa wanamharibia mtu Maisha yake ya kimwili tu, kufanya mtu awe na kasoro fulani fulani za kimwili, au kimaisha.

2. Manabii wa Uongo: Hili ni kundi la Pili la wachawi!, ambalo ni hatari sana kuliko hilo la kwanza!.. kundi hili haliwalogi watu kimwili bali kiroho.. yaani kazi yake ni kumsababisha mtu aukose uzima wa milele kwa kuiacha Imani au kwa kutoijua imani.
 
No.1 na No.2 daily tunawaombea WAFE Ili watu wafunguliwe wauone uzima wa milele.
 
1. Wachawi wa kawaida wanaojulikana; wanaopaa na Nyungo, na kuloga na kuwanga!. Hawa wanamharibia mtu Maisha yake ya kimwili tu, kufanya mtu awe na kasoro fulani fulani za kimwili, au kimaisha...
Yesu Kristo ndiye Njia, Ukweli na Uzima!
 
Back
Top Bottom