kuna aina tatu za ajira
1. Kutafuta kazi.
2. Kutafutwa na kazi.
3. Kutengeneza kazi.
sasa chagua wewe mwenyewe.
1. Kutafuta kazi maana yake ''you are not good enough''.
2.kutafutwa na kazi maana yake ''you have what it takes''.
3.kutengeneza kazi maanake ''you are good enough''.
s t o p c o m p l a i n i n g.
mhhhhhhh! Kuna vitu vingine mtu unavijua lakini vikiongelewa na wengine ndo unapogundua kumbe hujui hata ktk hayo unayodhani unayajua. This is a very good 'ffod for thought' aisee!
Nakusalimu kaka mkubwa!!
kuna aina tatu za ajira
1. Kutafuta kazi.
2. Kutafutwa na kazi.
3. Kutengeneza kazi.
Sasa chagua wewe mwenyewe.
1. Kutafuta kazi maana yake ''you are not good enough''.
2.kutafutwa na kazi maana yake ''you have what it takes''.
3.kutengeneza kazi maanake ''you are good enough''.
S T O P C O M P L A I N I N G.
Mimi nilitafuta kazi(baada ya ku-graduate), nikatafutwa na kazi (after acquiring experience/skills ) , nikatengeneza kazi (baada ya kupata capital). Kwa hapo mkuu mimi niko kwenye category ipi kati ya hizo?
Mhhhhhhh! Kuna vitu vingine mtu unavijua lakini vikiongelewa na wengine ndo unapogundua kumbe hujui hata ktk hayo unayodhani unayajua. This is a very good 'ffod for thought' aisee!
hii ni kweli lakini kwa hapa nyumban ipo kazi
Constructive & vry Challenging Idea!Bt pia mi nadhan hvo huweza ktokea kwa % kubwa as in a process, vp kwny series ya wakat!UNATAFUTA, UKPATA UNATAFUTWA ZEN BADAE UNAWAJENGEA NAFASI WENGNE" especialy hyo ni graph 2 most LDCs"
kuna aina tatu za ajira
1. Kutafuta kazi.
2. Kutafutwa na kazi.
3. Kutengeneza kazi.
sasa chagua wewe mwenyewe.
1. Kutafuta kazi maana yake ''you are not good enough''.
2.kutafutwa na kazi maana yake ''you have what it takes''.
3.kutengeneza kazi maanake ''you are good enough''.
s t o p c o m p l a i n i n g.
Mimi nilitafuta kazi(baada ya ku-graduate), nikatafutwa na kazi (after acquiring experience/skills ) , nikatengeneza kazi (baada ya kupata capital). Kwa hapo mkuu mimi niko kwenye category ipi kati ya hizo?