Aina ya Magari tununuayo na tuyatafutayo zaidi Watanzania

Wildlifer

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2021
Posts
1,884
Reaction score
5,235
Hii ni kwa Mujibu wa BeFoward!




Toyota ndio Brand pendwa kwetu watanzania!
 
Ila ni kweli!!!!!
Ni gari yenye muonekano mzuri pia nahisi kwenye resales haisumbui ni ndani ya siku 3 unapiga pesa
Eeh hio ukinunua unatumia tumia kisha unavuta 17M yako chap unarudisha kibindoni hata namba ikiwa DE alimradi body imenyooka haina mikwaruzo huwezi kosa 15M ambayo ni almost half the price ya kuagiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…