Aina ya Pikipiki nzuri

nunua shine ray naiuza laki nane tu ile 150cc na ni piki piki binafsi husumbuliwi barabarani kama hizo bodaboda inahitaji matengenezo kidogo tu haijatumika muda mrefu ni piki piki ngumu na heshima barabarani mkuu nicheck au wasap 0762612213
Shineray zina usumbufu sana... Binafsi nimepitia uzoefu, na siajabu hata wewe unataka kusukumia Mwenzako huo msala. Alafu linakula mafuta hiloo....
 
Shineray zina usumbufu sana... Binafsi nimepitia uzoefu, na siajabu hata wewe unataka kusukumia Mwenzako huo msala. Alafu linakula mafuta hiloo....
soma ni lini mkuu ishauzwa ulitaka ile maji
 
nunua shine ray naiuza laki nane tu ile 150cc na ni piki piki binafsi husumbuliwi barabarani kama hizo bodaboda inahitaji matengenezo kidogo tu haijatumika muda mrefu ni piki piki ngumu na heshima barabarani mkuu nicheck au wasap 0762612213
Unaweza nitumia pics zake
 
sasa hivi kuna mahindra

simple haili mafuta kwa ajili ya kutembelea tuuu
 
Kweli kabisa. Nina Hero dawn ina muda mrefu imekufa magneto sijapata.
Hapa naumia kubadili injini kisa magneto
 
Boxer kiboko yake mvua
Maji yakiingia tu kwenye magneto wewe ndo unapaswa kulibeba sasa na lilivyo zito kama tairi la damper zile za migodini *****
Ni lazima kutumia neno *****
 
Nunua Boxer BM150.... hutajuta.
Niliendesha last month Dar Tanga njiani hatari tupu pikipiki inatembea mpaka miguu inatetemeka.
 
Subutu nani kasema sunlg inauzwa mil 1.6? Sunlg ni pikipiki imara kuliko boxer, sun pia ni pikipiki inayo imili hali zote boxer ni pikipiki ya starehe na spera zake ni ghali ukilinganisha na boxer, sunlg inatengenezeka pia kuliko boxer, boxer ikichoka ndo imetoka hiyo, chukua sunlg mkuu zipo hadi 150 bei mil 2.2 km haitoshi nunua Aojue ni pikipiki toleo jipya na imara sana utojuta.
 
Mimi nilikuwa na TVS HLX 125 Aisee hii pikipiki ni nzuri kwa matumizi binafsi.. Itakulimit kutembea speed kubwa, haili mafuta. Ni durable kama boxer tu. Ukitimiza masharti ya service hutajuta. Boxer itakuchinja.
 
habar wakuu nataka ushauri nataka kununua pikipiki binafs kwa ajili ya bodaboda ipi iko vizur kat ya boxer 150 na tvs150
kwanzia engine
fuels
speed
rough road
na appearance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…