Aina ya wanawake wasiotongozeka hata uwe na kila kitu (perfect man)

Aina ya wanawake wasiotongozeka hata uwe na kila kitu (perfect man)

The bump

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
1,488
Reaction score
2,908
Katika uchunguzi wangu kuna kundi la wanawake nimeligundua ni kundi ambalo halitongozeki hata uwe handsome vipi, umjue mungu vipi au uwe gentle kiasi gani.

Wanawake hawa ukikutana nao barabarani usijisumbue kuwapata, ni sahau.

1. Mwanamke Anaeenda kukutana kimapenzi na mwenzi wake
Ukikutana na pisi kali huko imependeza ukaisimamisha kadri uwezavyo haisimami, usijihangaishe maana inaenda location hiyo hamna kitu utaiambia ikuelewe.

2. Mjamzito
Wanawake wajawazito huwa hawatongozeki, hangaika uhangaikavyo utaona anakubania ila ukimpa miezi kadhaa utaona kitumbo kinachomoza. Hawa wanawake akutunuku tu yeye ila siyo sound zako eti ndiyo zisababishe umnase.

3. Mwanamke yuko somewhere anasubiri first date
Washapanga na jamaa yake wakutane mahali, halafu wewe nenda pale jitie gentleman unasogeza kiti ukae meza hiyo hiyo. Asee, anaweza akakutemea mate, hata kama uwe polite vipi atakwambia tu "Excuse me give me a break".

4. Mwanamke katoka geto huko kadundwa na mpenzi wake
Njiani unamuona anatembea zake anarudi kwao/kwake, unaenda unamuita dada dada nyingii kama konda wa mwenge. Asee utapookea kohozi hilo kama sio tusi.

5. Mwanamke alietoka kufumania mwanaume aliyempenda
Yuko njiani anamachungu ya nafsi wewe unamfata, bwana weee usiseme sijakwambia. Au kajiendea bar ameagiza K-Vant zake ajidunge eti unamsogelea unamuomba kampani kitachokukuta usije sema hukuambiwa.

6. Mwanamke aliyetoka ibadani kwa Mwamposa/siku ambayo wamehubiriwa kuhusu uhuni wa wanaume
Jichanganye ukutane naye ujitie samahani dada naomba kuongea na wewe, ndugu yangu utakemewa "Shindwa pepooo". Epuka sana kutongoza wanawake wanaoenda kanisani siku za J2 atleast tongoza J3, J4.
Jumatano usipendelee (kunakuaga na kwenda church), Alhamisi fresh, Ijumaa usijaribu ni siku ya mkesha, kwa hyo mchana wote wanajiandaa kwa ajili ya ibada. Lakni hata upande wa kiislamu Ijumaa siku yao, hvyo kausha.

Mengine ongezeeeni yawezekana nimesahau, ila lipo kundi lisilotongozeka. Ukilivaa hilo hata uwe na PHD ya ushawishi lazima upigwe za uso.

Wanaume mkiyajua haya makundi msilazimishe penzi, piteni hivi mfanye yenu, maana always ushindi na point 3 wanazichukuaga hawa wenzetu.

Endeleeeni,
 
Mwanamke aliyetoka kuambiwa na mwanaume mimba Si yangu....anawaona wanaume wote dog
Huyu hata umpe sound gani hakuelewi,binuka ubinukavyo hata umwambie ntakupa kiwanja madale ukinikubalia yani anakuona ndio unamzdshia kichef chef
 
Mwanamke aliepima akakutwa na MIMBA baada ya KUBAKWA.
Mwanamke aliyetoka kuambiwa na mwanaume mimba Si yangu....anawaona wanaume wote dog
Aisee yaani huyu utampiga umuue lakn hakuelewi
 
Katika uchunguzi wangu kuna kundi la wanawake nimeligundua ni kundi ambalo halitongozeki hata uwe handsome

Endeleeeni
Sasa hizo ulizoelezea ni "situations tu"sio hari ya kudumu,sio tabia ya kibinadam.
Vipi anaenda kubanjuka,akishamaliza nikakutana nae balabalani,si ataeleweka?
 
Sasa hizo ulizoelezea ni "situations tu"sio hari ya kudumu,sio tabia ya kibinadam.
Vipi anaenda kubanjuka,akishamaliza nikakutana nae balabalani,si ataeleweka?
Mwanamke alietoka kubanjuka ukikutana nae barabaran hakuelewi labda huyo jamaa awe alimgusa gusa
 
Huyu anatongozeka mkuu,pesa ikilipwa unampata,akikutana na DON akimsusia kitita na chench inabaki hata nyumbani harudi mnaenda nae geto siku hiyo hiyo.
Hao wanaliwa sana Kwa kweli
 
Wengine waliotoka kupanikishwa na wapenzi wao, tunawatafuna kama Nini? Stress zinasababisha watutunuku tunda
 
Huwajui Wanawake wewe .

Katika makundi yote, labda hai wa Kwa mposa na ni sababu sipo Dar Kwa Sasa .

Hamna Wanawake wepesi kama upepo kama Hawa
[emoji117]4...5.

2..kama ni mjamzito alafu Haishi na Mume wake yaan kapewa tu Ujauzito na mchizi ,Tena ukute mchizi kakataa kulea..
Kuna Mmoja ana mimba ya miezi 8 SAS, Toka Jana ananisumbua na ananilaumu sanaaa kwann simtafuti... In fact , alinipa namba miezi Kadhaa ilopita, akiwa Hana Ujauzito .Sasa Mimi mambo mengi sikumtafuta.. akawa ananitafuta Mara Moja Moja , Toka Jana anafululiza kunitafuta Nando akaniambia sahizi anamimba ya miezi 8 ila amenimiss, nilimzengua, Sijui nn ...( Yuko tayari kunipa Mbususu ila sitamla)

3....Hawa HAWATAKI Stori nyingi, ukimkuta Mahali, mchekeshe chekeshe kidogo alafu mtanie "Mie najua hapa unamsubiri mtu Sasa, nisifanye jamaa ashtuke, niandikie namba nitakuchek kesho jion".

1---naye nikama 3

Hiyo 6 , ndo kabisa ,wepesi haooo ,Hawa wanaoenda Ibada za Hawa mitume ???
Mkuu wa hizi kazi[emoji23]
 
"Mwanamke aliyetoka ibadani kwa Mwamposa/siku ambayo wamehubiriwa kuhusu uhuni wa wanaume"

😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom