Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Mbona Povu Mzee Wangu [emoji3][emoji3][emoji3]... Don't take it serious Mjubasaaa hivyo tu? kuna watu hawajui boom wala mkopo wala maana ya HeLSB lakini kimaisha wamekuacha mbali sana, na tena wanalipa kodi nyingi sana serikalini na wanategemewa na watu na bado unawazidi umri
Hao ni wale watu wanaitwa ''wajinga wajinga''. Kwao maisha mazuri ni kula, kunywa na kusaza.Mbona Povu Mzee Wangu [emoji3][emoji3][emoji3]... Don't take it serious Mjuba
Hakika Mkuu maana Jamaa katapika Nyongo [emoji3][emoji3][emoji3]Hao ni wale watu wanaitwa ''wajinga wajinga''. Kwao maisha mazuri ni kula, kunywa na kusaza.
Mkuu sio yeye tu hata mimi ni mjinga kwa hilo jambo.Msomi Wa Chuo kikuu Hajui kutofautisha Kati ya Boom na mkopo Unaotolewa na HeSLB?
Tunaelekea Wapi Wakuu Kama Taifa Linalojikomboa?
View attachment 1886176
Mkuu sio yeye tu hata mimi ni mjinga kwa hilo jambo.
Naomba utufafanulie tofauti ya BOOM na hesbl tafadhali
Hawa ndiyo uvccm die hardMsomi Wa Chuo kikuu Hajui kutofautisha Kati ya Boom na mkopo Unaotolewa na HeSLB?
Tunaelekea Wapi Wakuu Kama Taifa Linalojikomboa?
View attachment 1886176
Kwa hiyo boom ni free sio? Kwamba sio sehemu ya mkopo itakayofanyiwa marenesho.Mkopo = kulipia masomo
Boom = hela ya mahitaji ukiwa shule.
Paka anaitwa nyau na nyau anaitwa paka.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mfano?saaa hivyo tu? kuna watu hawajui boom wala mkopo wala maana ya HeLSB lakini kimaisha wamekuacha mbali sana, na tena wanalipa kodi nyingi sana serikalini na wanategemewa na watu na bado unawazidi umri
Kwani lazima kujua hayo??,Km sio mnufaika je??.Msomi Wa Chuo kikuu Hajui kutofautisha Kati ya Boom na mkopo Unaotolewa na HeSLB?
Tunaelekea Wapi Wakuu Kama Taifa Linalojikomboa?
View attachment 1886176