Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

Kitendo cha kuuelewa uzi huu ni dhahili kua sjalishwa hilo libwata sijui libata
 
Kamwe nuru na giza havipatani, hayo malimbwata huwapata wasiotokana na Mungu kiimani lakini waliofunuliwa ukuu wa Mungu hata ujihangaishe vipi bado tu watasimama imara na kutoweweseka na limbwata zaidi ya kupoteza muda wako bure.
Haa
 
Aisee Ni hatari Sana kwa kweli, Wanaume tunatakiwa tumkimbilie Mungu yeye pekee ndo anayeweza kutukings dhidi ya hayo majanga🙏
 
Kamwe nuru na giza havipatani, hayo malimbwata huwapata wasiotokana na Mungu kiimani lakini waliofunuliwa ukuu wa Mungu hata ujihangaishe vipi bado tu watasimama imara na kutoweweseka na limbwata zaidi ya kupoteza muda wako bure.
Kabisa kabisa
 
Mwanamke hajawahi kukutana na shetani face to face,bali nyoka kiumbe aliyekuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwituni,shetani alimtumia nyoka kumlaghai hawa,na nyoka kiutendaji alikua anakaribiana na mwanadamu,Hawa akalala na nyoka,kisha akaenda akalala na mumewe,ndio maana kuna kizazi cha nyoka...Hakuna mahali biblia inaeleza mwanamke aliongea na shetani
 
Daaaah...kuna wanangu wananiambia kuna demu eti kanifanyia dawa, lkn mm mwnyew naelewa ninachokifny😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…