Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
1. Mwanga..
2. Mshirikina
3. Mlogo(mchawi)
• Mwanga_ huyu anawanga usiku (uyu ni msumbufu ila ana lengo la kukuloga sema atakusumbua usiku utolala atakufanyia mauza uza.Mpaka utakoma.
• Mshirikina- Huyu mshirikina (anaenda kwa mganga kutafuta dawa ili afanikishe jambo lake kwa kufosi kama kutafuta pesa za kiganga (shiriki) mbaya sana. Mambo ya kichawi unamshirikisha mungu ni ushirikina.
• Mlogo( huyu anaenda kutafuta dawa na kukuloga ili usifanikiwe kitu fulani huyu ndo mlogo(mchawi) ila kuna wala watu pia. Au nyama za watu hawa wanaitwaje?
•imeandaliwa na kimodomsafi
2. Mshirikina
3. Mlogo(mchawi)
• Mwanga_ huyu anawanga usiku (uyu ni msumbufu ila ana lengo la kukuloga sema atakusumbua usiku utolala atakufanyia mauza uza.Mpaka utakoma.
• Mshirikina- Huyu mshirikina (anaenda kwa mganga kutafuta dawa ili afanikishe jambo lake kwa kufosi kama kutafuta pesa za kiganga (shiriki) mbaya sana. Mambo ya kichawi unamshirikisha mungu ni ushirikina.
• Mlogo( huyu anaenda kutafuta dawa na kukuloga ili usifanikiwe kitu fulani huyu ndo mlogo(mchawi) ila kuna wala watu pia. Au nyama za watu hawa wanaitwaje?
•imeandaliwa na kimodomsafi