super black Boy
Senior Member
- Oct 15, 2019
- 135
- 169
mkuu kuna biashara nahitaji kuifanya so najaribu kufanya research watu wanapenda ugali wa aina gani kwa wingiUnataka ugundue nini kwenye ugali?
Kuna ugali unaotokana na mahindi, ambapo kuna sembe na dona.
Pia kuna ugali unatokana na viazi, mtama, mihogo, ndizi etc.
Kuna mwingine unaitwa NTANDASA ni wa unga wa muhogo wakati wa kusonga moto unapaswa kuwa mdogo mdogo vinginevyo utatepeta
Huu unaliwa na mchuzi chuku chuku wenye ndimu nyingiKuna mwingine unaitwa NTANDASA ni wa unga wa muhogo wakati wa kusonga moto unapaswa kuwa mdogo mdogo vinginevyo utatepeta
Research ya ugali unaifanyia jf?mkuu kuna biashara nahitaji kuifanya so najaribu kufanya research watu wanapenda ugali wa aina gani kwa wingi
Research ya ugali unaifanyia jf?
Kweli?
Hauko serious.
Sana sana ungesema unataka uifanyie wapi hiyo biashara yako ili iwe vizuri zaidi kusaidiwa.
Ungeweka wazi kwa mfano kuwa unataka kuifanyia Dodoma, kuna member wengi wanaifahamu Dodoma wanaweza kukufafanulia zaidi.
Sasa kama haujaweka wazi inakuwa ngumu.
Sababu ugali wanaokula kigoma (wanaotumia hasa) hauwezi kuwa sawa ugali wanaotumia Tanga.
Mfano Kigoma kuna ugali wa unga wa mhogo, ambapo sehemu nyingine ugali wa mhogo ni mtihani.
ahsante sanaKuna ugali wa:
Mihogo
Mtama
Viazi
Ndizi
Mahindi (dona na sembe)
Research ya ugali unaifanyia jf?
Kweli?
Hauko serious.
Sana sana ungesema unataka uifanyie wapi hiyo biashara yako ili iwe vizuri zaidi kusaidiwa.
Ungeweka wazi kwa mfano kuwa unataka kuifanyia Dodoma, kuna member wengi wanaifahamu Dodoma wanaweza kukufafanulia zaidi.
Sasa kama haujaweka wazi inakuwa ngumu.
Sababu ugali wanaokula kigoma (wanaotumia hasa) hauwezi kuwa sawa ugali wanaotumia Tanga.
Mfano Kigoma kuna ugali wa unga wa mhogo, ambapo sehemu nyingine ugali wa mhogo ni mtihani.
Acha ujinga dogo,kingine mkuu naelewa nachokifanya hapa hii ni sehemu kama ya source of data collection kama umesoma research kweli....hapa kupitia michango ya watu unapata kitu ambacho kinaweza kukujenga kwa namna moja ama nyingine hakuna aliyezaliwa anajua kila kitu mengine tunajifunza kupitia kwa watu na hayo tunayojifunza ndo yanachangia hata kupata kipato cha kujikimu kimaisha
Umejuaje SkyHuu unaliwa na mchuzi chuku chuku wenye ndimu nyingi
Acha ujinga dogo,
yaani nakuelewesha, wewe unaleta upumbavu.
acha ujinga.