MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Uwekezaji unao fanywa na asilimia kubwa ya sisi Watanzania haitupi kuweza kushindana huko Duniani na mataifa mengine.
Tumekuwa na aina za uwekezaji ambazo sana ni kwa ajili ya Familia zetu na sio za kututambulisha Duniani au kusaidia nchi.
Chukulia mfano Mji kama Kahama, Ule ni mji una Mgodi mkubwa sana wa Madini na ule ni uwekezaji wa wazungu, Ukitoa ule uwekezaji wa Madini pale Kahama kinacho fuata ni Lodge, Car Wash, Guest House, Frame na kadhalika, hii ni kwa ajili sana ya sisi Wa Tanzania lakini hizi sio za sisi kutamba nazo nje.
Nenda Miji hata Geita kwenye uwekezaji mkubwa sana wa Mgodi pia wa Madini pale, baada ya Ule Mgodi sisi Watanzani hatuna uwekezaji wa kuja kuwapa chalange Wazungu.
Hii iko kwenye miji mingi sana, Ukienda, iwe Vijijini iwe mijini sisi Wazawa aina nyingi za uwekezaji wetu sio zile ambao zinakuja kuisaidia nchi mbele ya Safari bali kuja kitusaidia sisi Familia zetu mbele ya Safari.
Angalia wekezaji za Wazungu huku kwetu, angalia Wachina, angalja Wazungu na hata angalia Wakenya walio wekeza kwetu Tanzania.
Asilimia kubwa ya Watanzani tukiwa na na pesa ukisikiliza mawazo yetu na hata mimi mwenyewe ni kuwekeza either kwenye Usafiri, au kujenga Frame za Biashara au Lodge au Baa kubwa sana au Hoteli au Car Wash na kadhalika, ni Watanzania wachache mno mno utawasikia wanasema mimi nataka kuwekeza kwenye kilimona hizi pesa zangu, au nategemea kuwekeza kwenye viwanda au wekezaji zingine kubwa.
Tuwe wakweli wekezaji za Frame, Lodge, Baaa, Nyumba za kupanga, Mabasi na kadhalika hizi zina faida kwa sisi kama sisi ila hazina nafasi International.Hazitupeleki nje.
Nakaribisha challange.
Tumekuwa na aina za uwekezaji ambazo sana ni kwa ajili ya Familia zetu na sio za kututambulisha Duniani au kusaidia nchi.
Chukulia mfano Mji kama Kahama, Ule ni mji una Mgodi mkubwa sana wa Madini na ule ni uwekezaji wa wazungu, Ukitoa ule uwekezaji wa Madini pale Kahama kinacho fuata ni Lodge, Car Wash, Guest House, Frame na kadhalika, hii ni kwa ajili sana ya sisi Wa Tanzania lakini hizi sio za sisi kutamba nazo nje.
Nenda Miji hata Geita kwenye uwekezaji mkubwa sana wa Mgodi pia wa Madini pale, baada ya Ule Mgodi sisi Watanzani hatuna uwekezaji wa kuja kuwapa chalange Wazungu.
Hii iko kwenye miji mingi sana, Ukienda, iwe Vijijini iwe mijini sisi Wazawa aina nyingi za uwekezaji wetu sio zile ambao zinakuja kuisaidia nchi mbele ya Safari bali kuja kitusaidia sisi Familia zetu mbele ya Safari.
Angalia wekezaji za Wazungu huku kwetu, angalia Wachina, angalja Wazungu na hata angalia Wakenya walio wekeza kwetu Tanzania.
Asilimia kubwa ya Watanzani tukiwa na na pesa ukisikiliza mawazo yetu na hata mimi mwenyewe ni kuwekeza either kwenye Usafiri, au kujenga Frame za Biashara au Lodge au Baa kubwa sana au Hoteli au Car Wash na kadhalika, ni Watanzania wachache mno mno utawasikia wanasema mimi nataka kuwekeza kwenye kilimona hizi pesa zangu, au nategemea kuwekeza kwenye viwanda au wekezaji zingine kubwa.
Tuwe wakweli wekezaji za Frame, Lodge, Baaa, Nyumba za kupanga, Mabasi na kadhalika hizi zina faida kwa sisi kama sisi ila hazina nafasi International.Hazitupeleki nje.
Nakaribisha challange.