Rais anatakiwa “Mlevi” au mie ndio sijala mchicha vizuriUmasikini wa nchi yetu na watu wetu unaanzia kwenye roho za watawala.
Imagine, unakuta mtu ni Rais ambaye kwa kawaida anatakiwa mlevi na kuhakikisha kila mtu anafanikiwa, lakini anakuwa wivu kupindukia na hataki kuona mafanikio ya mtu.
Mlezi. Just "typo"Rais anatakiwa “Mlevi” au mie ndio sijala mchicha vizuri
Mkuu una vituko Sana[emoji1787][emoji1787]..nadhani ni typing errorRais anatakiwa “Mlevi” au mie ndio sijala mchicha vizuri
Nakubaliana na wewe. Hata kwenye uwekezaji wa Pharmaceuticals Manufacturing bado mahitaji ni makubwa sana nchini na africa kwa ujumla.Kuna nyanja kadhaa ambazo naona kabisa zinaweza kuleta faida kupitia soko la ndani tu.
Nyanja hizi ni kklimo cha mbegu za kutengeneza mafuta ya kupikia, pamoja na pamba kwa ajili ya kutengeneza nguo za kuvalisha zaidi wa watu miliom 55.
Huwa najiuliza, ni kwa ni kwanini bidhaa kutoka china inauzwa bei ndogo, kuliko bidhaa iliyotengenezwa hapa hapa Tanzania?
Tatizo sio mtaji tu, nyakati nyengine tatizo ni kiwango cha ukubwa wa risk wa hauo mambo makubwa makubwa unayoona watu hawafanyi.Kama unaweza jenga lodge ya milion 900 hadi Bilion unashindwa kuanzisha kiwanda? Au kuwa na Farm kubwa? Mtaji sio shida,