Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,574
- 1,549
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Umesahau kitambi mbinuko
Nadhani hicho nacho tuongezee ni vizuri ukaambatanisha na picha [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mbona sioni kitambi cha minyoo
Vifuatavyo ni baadhi ya aina za Vitambi
View attachment 1193465View attachment 1193466View attachment 1193467View attachment 1193468View attachment 1193469
Unaweza kuongezea
Cc
yna2
Sakayo
Mother Confessor
General Mangi
Hapahapa tz ila kwa hapa dar vinapatikana SanaVitambi vya nchi gani tena jamani
AiseeeHapahapa tz ila kwa hapa dar vinapatikana Sana
Keko
Tandale
Magomeni mwembechai
Temeke
Manzese
Sinza uzuri
Mbagala77
Mangi uniashije hapo mjini bila kitambi, jitahidi upate hata hicho kinacho fanana na wala rushwa [emoji4] [emoji4]Sijui kwann watu wanapata vitambi
Hivi ni vya nchi zinazoendelea (developing Contries) ikiwemo TanzaniaVitambi vya nchi gani tena jamani
Shemeji yetu ana aina ipi? Samahani kwa swali la kichokoziOngezea na kitambi mtepeto
Haki nimecheka ee mola nisamehe ukitaka kuona sura za ajabu nenda mitaa hiyo uliyotaja yaani unaweza kutana na katoto ka miaka 5kana sura nguuumu wallah yaani unakapigia hesabu kabisa huyu miaka 15mingi lazima kaje kuliza watu na roba za mbao halafu vindava hivyo kama mtu mzimaHapahapa tz ila kwa hapa dar vinapatikana Sana
Keko
Tandale
Magomeni mwembechai
Temeke
Manzese
Sinza uzuri
Mbagala77
Mbona sijawahi vionaaHivi ni vya nchi zinazoendelea (developing Contries) ikiwemo Tanzania
Kweli?Mbona sijawahi vionaa
Basi sawaKweli?
Uuuwii hana jomoniii hata cha kahawa,.mm ndio nnacho ila hakipo kati ya hivyo juu🤓Shemeji yetu ana aina ipi? Samahani kwa swali la kichokozi