Air bag light

profesawaaganojipya

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2015
Posts
1,595
Reaction score
3,416
nimeendesha gari kwa takribani saa 1:30,nikapaki kama masaa 2,nikiweka tu funguo na ku turn ufungu mara ya kwanza tu,inawaka taa ya air bag,nikaendesha kama saa moja na nusu na nimepaki home,naomba msaada kuweka kuondoa hiyo taa, nikiwasha gari nayo inawaka, gari ni TOYOTA NOAH ROAD TOURER 2000, LIGHT ACE, 2WD.

 
Icheki huwenda ina hitilafu sababu Ukiweka switch on ECU inachek vyote vikiwa sawa ukiwasha tu warning zote zinatakiwa ziondoke chapu
 
Picha ukiwa umewasha gari tafadhali.
nikiwasha gari zinabaki,hiyo ya airbag,brake(abs) na ya mkanda,baada ya hapo inabaki hiyo ya airbag wakati naendesha,,,asubuhi nilipoingiza ufunguo niwashe gari,ukawa mgumu kuzungusha,nikatikisa stering huku nazungusha ufunguo,ikakubali kuwaka,nahisi tatizo lilianzia hapo,,,picha nikiwasha hiyo hapo
 
Huenda hiyo ring inayokaa chini ya usukani imeshakuaga.

Kapime uconfirm, kama ni hiyo nunua nyingine....
 
Airbag nyingi sana za magari used hazipogo sawa na kuzimantain service kuna kagharama hivyo gari nyingi hiyo taa huwa inawaka au inakuwa disable moja kwa moja.

Anyways, kama inakukera fanya diagnosis uone tatizo ni sensor au airbag imeexpire inahitaji replacement. Na uzuri hizi sr40 ndo kina fundi maiko wanaziwezea kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…