Mzee Mwanakijiji Platinum Member Joined Mar 10, 2006 Posts 33,771 Reaction score 41,027 Oct 20, 2008 #21 Liacheni shirika letu la Taifa la Ndege; kuna makubwa ambayo hata hayana sababu tena ya kuyasema. Tukubali tu yaishe.
Liacheni shirika letu la Taifa la Ndege; kuna makubwa ambayo hata hayana sababu tena ya kuyasema. Tukubali tu yaishe.
M Mama JF-Expert Member Joined Mar 24, 2008 Posts 2,848 Reaction score 64 Oct 20, 2008 #22 Mzee Mwanakijiji said: Liacheni shirika letu la Taifa la Ndege; kuna makubwa ambayo hata hayana sababu tena ya kuyasema. Tukubali tu yaishe. Click to expand... kwa hili umekata tamaa mzee? mwisho umekaribia na suluhu itapatikana soon, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Never ever give up.
Mzee Mwanakijiji said: Liacheni shirika letu la Taifa la Ndege; kuna makubwa ambayo hata hayana sababu tena ya kuyasema. Tukubali tu yaishe. Click to expand... kwa hili umekata tamaa mzee? mwisho umekaribia na suluhu itapatikana soon, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Never ever give up.
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 57,951 Reaction score 32,619 Oct 21, 2008 #23 mungu wa mwanakijiji uliokoe shirika hili!!1na dhambi zake!!!