J Jiml Member Joined Jan 4, 2021 Posts 47 Reaction score 57 Jan 16, 2021 #1 Habarini wakuu?? Naomba kujua bei ya compressor ya kawaida ya Kujaza upepo ni shilingi ngapi? Dukani?
Habarini wakuu?? Naomba kujua bei ya compressor ya kawaida ya Kujaza upepo ni shilingi ngapi? Dukani?
Denjo JF-Expert Member Joined Jul 23, 2014 Posts 359 Reaction score 117 Jan 17, 2021 #2 Lita 50 inauzwa 350k nenda kariakoo mwenyewe kama kwa pik pik ila kama unachanganya na gari jitose lita 100 kwa 800 ila inategemea
Lita 50 inauzwa 350k nenda kariakoo mwenyewe kama kwa pik pik ila kama unachanganya na gari jitose lita 100 kwa 800 ila inategemea
J Jiml Member Joined Jan 4, 2021 Posts 47 Reaction score 57 Jan 17, 2021 Thread starter #3 Ahsante Sana mkuu ngoja nifanye hivyo!!