INAUZWA Air Fryer kwa mapishi bila mafuta kwa bei poa

INAUZWA Air Fryer kwa mapishi bila mafuta kwa bei poa

mmewadadako

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2019
Posts
534
Reaction score
844
...
 

Attachments

  • IMG_20221014_231934_686.jpg
    IMG_20221014_231934_686.jpg
    127.3 KB · Views: 47
Ni fizuri ungeweka na ujazo wake, zina bei tofauti tofauti, kutegemeana ujazo au hata kampuni iliyotengeneza.

Mtu akuagizie tu, leta atoe 190,000 siyo ndogo ujue.
 
Ni fizuri ungeweka na ujazo wake, zina bei tofauti tofauti, kutegemeana ujazo au hata kampuni iliyotengeneza.

Mtu akuagizie tu, leta atoe 190,000 siyo ndogo ujue.
"Ni vizuri" sio "Ni fizuri"
 
Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta ya kula na matatizo ya kiafya yanayotokana na mafuta kama BP sasa tunakuletea kifaa hichi cha kisasa

Kinapika vyakula pasipo kutumia mafuta
-kinaoka kuku
-Samaki
-Chips
-Nyama
-Ndizi
-Kuoka keki na kupasha vyakula

Kinatumia muda mfupi kuivisha chakula na kinatumia umeme kidogo.

Tunapatikana Kimara Dar es Salaam

Dsm utaletewa mpaka ulipo ndipo ulipie/Mkoani utalipia baada ya kupokea.

Bei ni 190,000/=

0765494548View attachment 2398431View attachment 2398429View attachment 2398430

Umefanya over price
Hicho cha 6Ltr K/koo wanauza 145,000 hata baadhi ya wauzaji nimeona mtandaoni bei ni 145,000 hadi 150,000.

Fuatilia kwanza ujue bei za wenzako vinginevyo utaangukia pua.

Ni ushauri tu
 
Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta ya kula na matatizo ya kiafya yanayotokana na mafuta kama BP sasa tunakuletea kifaa hiki cha kisasa.

Kinapika vyakula pasipo kutumia mafuta
-kinaoka kuku
-Samaki
-Chips
-Nyama
-Ndizi
-Kuoka keki na kupasha vyakula

Kinatumia muda mfupi kuivisha chakula na kinatumia umeme kidogo.

Tunapatikana Kimara Dar es Salaam

Dsm utaletewa mpaka ulipo ndipo ulipie/Mkoani utalipia baada ya kupokea.

Bei ni 190,000/=

0765494548View attachment 2398431View attachment 2398429View attachment 2398430
Mhhh hyo bei
 
Back
Top Bottom