Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Ndio nini?haende
This is brutal mzeiyaaa.Shingapi nimnunulie bibi yangu haende navyo shambani kulima mpunga
Twende pm mkuu bei ni rafiki hatuwezi kushindwanaShingapi nimnunulie bibi yangu aende navyo shambani kulima mpunga
Karibu mkuu wewe unaweza ukawa wa kwanza hio kazi imeenda shule7 people are here lakini hawanunui😅😅
Naendelea kutafuta mkuu, kama ramani zinasomeka upande huo tupeane connection za michongoEndelea kutafuta ajira
Naweza kukufikishia ulipo ukaikagua mkuu kama sio OG wala siwezi kukupokonya pesa yako.Hakuna OG hapo
Karibu mkuu wewe unaweza ukawa wa kwanza hio kazi imeenda shule View attachment 3036191
mkuu mimi navaa kiatu namba 44 ama 45 sidhani kama hicho kitaweza kubeba shida zangu za kila sikuKaribu mkuu wewe unaweza ukawa wa kwanza hio kazi imeenda shule View attachment 3036191