Mimi nina shida kuhusu hii AIRMAIL, Nimetumiwa package kutoka china kwa njia ya AIRMAIL lakini sijui hiyo package ntaipaje itakapofika na sijui itafikia ofisi ya carrier gani. Tafadhali naomba msaada wa mawazo na maelekezo kwa yeyote atakaeweza na mwenye Idea juu ya hili.