BOFREE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 1,048
- 1,424
Air Tanzania mlichonifanyia mmebadilisha safari yangu ya ndege ya saa kumi jion hadi saa tano usiku. Cha kushangaza hamjibu email wala namba yenu ya simu ambayo ni 0748773900.
Simu inaitaa mpaka inakata hakuna wa kupokea! Hivi mmeweka ya nini? Naomba kiongozi yoyote wa serikali ajaribu kupiga hiyo kisha achague 8 kuongea na muhudumu aone kama itapokelewa!
Simu inaitaa mpaka inakata hakuna wa kupokea! Hivi mmeweka ya nini? Naomba kiongozi yoyote wa serikali ajaribu kupiga hiyo kisha achague 8 kuongea na muhudumu aone kama itapokelewa!