Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Nilitumiwa parcel moja kutoka Dodoma kuja Dar last month. Suprisingly, akapewa mtu mwingine anayeishi Chanika. Yaani ilichukua zaidi ya masaa 28 kuipata ile parcel na ilinilazimu mimi kudrive kumfuata alipo.
Nimetuma box dogo tu lenye documents kwenda Bukoba tangu tarehe 30 December. Cha ajabu, haijafika mpaka muda huu. Kitengo kinachohusika na Cargo pale Airport hawanipi majibu yaliyonyooka. I am very disappointed kwa huu uzembe uliokithiri. Ningetuma ile parcel kwa Bajaji ingekuwa ishafika muda huu.
Itabidi turudi kwa DHL tu sasa na tulipe zaidi kwa huduma bora!!😕
Nimetuma box dogo tu lenye documents kwenda Bukoba tangu tarehe 30 December. Cha ajabu, haijafika mpaka muda huu. Kitengo kinachohusika na Cargo pale Airport hawanipi majibu yaliyonyooka. I am very disappointed kwa huu uzembe uliokithiri. Ningetuma ile parcel kwa Bajaji ingekuwa ishafika muda huu.
Itabidi turudi kwa DHL tu sasa na tulipe zaidi kwa huduma bora!!😕