Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hivi hii ndege ilikwendaga wapi jamani nakumbuka niliipanda kwenda mwanza sana baadae nikasikia iko safari kwa matengenezo nikahamia precission
Badae niakapata taarifa inarudi lakini nikiwa njian na KEnyaairways nikaiona pale airport niliporudi sikuisikia tena jamani embu tujulishane na ule mkataba wake tuliuosoma wa kuliapana doller 360,000 na huku mhusika akila 260,000usd huku 100,000usd kila mwezi zikiingia mifukoni mwa wakubwa wapo walioshauri matumizi mabayaya hii ndege wapo waliokuja na vieelelezo vya uhuni wamkataba huu serikali embu e;elezeni mnatumia hela za watanzania wjaue hela zao zimeenda wapi???ama mlikuwa kwenye mchakato wa kugawiwana pesa kutumia mgongo wa ATCL???
Badae niakapata taarifa inarudi lakini nikiwa njian na KEnyaairways nikaiona pale airport niliporudi sikuisikia tena jamani embu tujulishane na ule mkataba wake tuliuosoma wa kuliapana doller 360,000 na huku mhusika akila 260,000usd huku 100,000usd kila mwezi zikiingia mifukoni mwa wakubwa wapo walioshauri matumizi mabayaya hii ndege wapo waliokuja na vieelelezo vya uhuni wamkataba huu serikali embu e;elezeni mnatumia hela za watanzania wjaue hela zao zimeenda wapi???ama mlikuwa kwenye mchakato wa kugawiwana pesa kutumia mgongo wa ATCL???