hiyo kitu ghari sana, bila schorlaship ni ngumu, pia anatakiwa awe mvumilivu sana, kwani ina vikwazo vingi hadi upate flying license, kuna dogo wangu ndio amepata juzi juzi tu. Aende pale airport Terminal 1 ataona washkaji wengi wameanza basic training, kabla ya kuendelea kutoka hapo, kwani kuna kozi zingine lazma uende S.A
Yeah vry xpensive!
Kenya Airways hupeleka watu wao huko SA kila mwaka kwa ajili ya training. Am not sure kama wapelekwao lazma wawe wakenya tu au hata wabongo yawezekana.
Mwambie awe mtu wa kuperuz kwa sana kwenye internet. Kwa kuanzia mpe link hii PPRuNe Forums - Professional Pilots Rumour Network na aji-registe kama memba ndo ataweza kusoma mambo mengi na kupata changamoto.
Duuh kazi anayo..nashukuru sn mkuu...vp huo mpango km wa Kenya huku kwetu hakuna?
Ila kazi ipo kampuni yetu yenyewe ina ndege moja.
Mkuu anayehitaji ni ndugu yako au wewe mwenyewe? ina'sound kama unahitaji wewe! check humu inaweza kukusaidia "Mosswood Aviation Academy" - PRIVATE PILOT TRAINING IN TANZANIAWakuu hbr ya wakati huu...kuna ndugu yangu ameniomba mwanga katika hili nami nikaona nililete jukwaani kwani penye wengi hapaharibiki jambo.
Ndugu yangu huyu ana ndoto na anatamani sn cku moja aje kuwa rubani wa ndege..alimaliza chuo mwaka jn na amesoma digrii ya sayansi katika bima na udhibiti majanga. Anafanya kazi kwnye kampuni binafsi kwa sasa(lkn co ya bima).
Sasa anahitaji kujua ni namna gani anaweza kukamilisha hyo ndoto yake hasa maswala ya scholarships...
Natanguliza shukrani wakuu.