Compare and contrast pax of Nyerere airport and JKIA. (20 marks)Better than these so claimed internation airports
or
Hata kwa Twitter haikupata comments? ππππ Something is very wrong. Watu walifikiri ni storage units za medical facility.
Haki when you replying to him be considerate of his heart.....Heart attack is realHata kwa Twitter haikupata comments? ππππ Something is very wrong. Watu walifikiri ni storage units za medical facility.
Arusha airport linakaa kama banda la ng'ombe. Maandishi yapo kwenye mabati duh! Kweli LdcArusha Airport
All their so called airports ni kama hema za mazishiβ¦..maandishi juu ya mabatiArusha airport linakaa kama banda la ng'ombe. Maandishi yapo kwenye mabati duh! Kweli Ldc
Chuki zitakumaliza Mkenya weweHii ni choo ama ni nini?
Hivi mnatumia vigezo gazi kutaja Airpot kuwa International?, Kenya mpo na viwanja viwili pekee vyenye sifa za International 1) JKIA 2) MoiWapi Moi airport in Mombasa, wapi Wilson, wapi JKIA?
Nyie mna mbili piaHivi mnatumia vigezo gazi kutaja Airpot kuwa International?, Kenya mpo na viwanja viwili pekee vyenye sifa za International 1)JKIA 2)Moi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar, Kilimanjaro n Zanzibar si mbili pia kuna soon Mwanza n Songwe as PAX buildings r being constructed! In 4 years Msalato airport pia!Nyie mna mbili pia
Runway ya Kisumu airport haiwezi tua dreamliner au B747 ila inaitwa International! π π π β yaani ni kama Bukoba Airport tuiiite International!Hivi mnatumia vigezo gazi kutaja Airpot kuwa International?, Kenya mpo na viwanja viwili pekee vyenye sifa za International 1)JKIA 2)Moi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ipi wakati hamna aiport ina-qualify ku-land international flights aside JKIA!Sheria ifuatwe.