Airports: Kenya vs Tanzania

Sheria ipi wakati hamna aiport ina-qualify ku-land international flights aside JKIA!
Sheria kuanzia jana ni kuwa Kenya hairuhusu non-Kenyans to land. Halafu Moi airport Msa pia ni international na Italians wanaoishi malindi huwa wanasafiri direct from Italy to Moi airport Msa. Usijifanye mjuaji sana.
 
Sheria ipi wakati hamna aiport ina-qualify ku-land international flights aside JKIA!
Mbona umenyamaza mzee, mbona umeingia mitini? Si nilidhani Kenya ina airport moja international. Leta evidence. Kuja tufanye debate.
 
Sheria kuanzia jana ni kuwa Kenya hairuhusu non-Kenyans to land. Halafu Moi airport Msa pia ni international na Italians wanaoishi malindi huwa wanasafiri direct from Italy to Moi airport Msa. Usijifanye mjuaji sana.
Mko na hata Mmoja Nyie?
 
Ndio isiolo ina matatizo kwa sasa lakini tutairekebisha. Turudi kwenye mada. Eti unasema Moi Msa sio international airport. Leta evidence yako nami nikijazie server na yangu.
mbona ndege yenu imeihepa?

Kabishane KQ maana haijui uwanja wa Moi!

 
mbona ndege yenu imeihepa?

Kabishane KQ maana haijui uwanja wa Moi!
Ni kama wamekatazwa kuland Kenya nzima. Ndege ambazo zimegeuzwa JKIA kwa kawaida huwa zinaland Moi Mombasa kwa sababu Moi ina runway ya international standards
 
Ni kama wamekatazwa kuland Kenya nzima. Ndege ambazo zimegeuzwa JKIA kwa kawaida huwa zinaland Moi Mombasa kwa sababu Moi ina runway ya international standards
evidence?
 
Nataka evidence ya huu ulioandika 👇

Ni kama wamekatazwa kuland Kenya nzima. Ndege ambazo zimegeuzwa JKIA kwa kawaida huwa zinaland Moi Mombasa kwa sababu Moi ina runway ya international standards
 
Now where is Moi airport with watchmen seats in the waiting lounge?

JNIA Terminal II was built way before Moi, see the seats!





 
Don't worry that number is rising steadily with expansion routes by Air Tanzania!
 
hahah u just responded to ur shithole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…