AirTel 1/4 sh from 11pm-6am ni Uwongo na kuvunja haki za wateja

AirTel 1/4 sh from 11pm-6am ni Uwongo na kuvunja haki za wateja

newmzalendo

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2009
Posts
1,385
Reaction score
568
kufuatana na matukio ya leo na dharula,nimetumia simu yangu ya Air tel usiku after 11pm,wamekata pesa kubwa kama kawaida
nikaamua kwenda ktk website ya airtel.com nikakuta offer ya robo shilingi bado ipo.

TCCRA wanasimamia huu uozo wa kudanganya wateja?
nikitaka ku complain kwa Airtel kuna uwezekano wa kuwa refunded hiyo pesa?

kwa waliowahi kufaidika na hii 1/4shilingi uliwahi kuitumia lini.
 
Mkubwa sawa kabisa hata mimi nilipiga simu jana around saa 11.15 na nikakatwa pesa kama kawaida tena tukaulizana sana na wife wangu kwanini wamekata. hivi asubuhi naammkia hapo ofisi za airtel wanieleze kulikoni.
 
Habari wana jamii forum,malipo ya kupiga simu za Airtel kwenda Airtel kuanzia saa tano usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi ni robo shilingi kwa sekunde,naomba kwa ambae anadhani alikatwa pesa zaidi anipatie namba yake na tarehe uliyopiga simu ili niweze kuangalia na kushugulikia suala lake na kumpatia feedback, I will be more than willing to assist you and provide any clarification if need be.
 
Habari wana jamii forum,malipo ya kupiga simu za Airtel kwenda Airtel kuanzia saa tano usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi ni robo shilingi kwa sekunde,naomba kwa ambae anadhani alikatwa pesa zaidi anipatie namba yake na tarehe uliyopiga simu ili niweze kuangalia na kushugulikia suala lake na kumpatia feedback, I will be more than willing to assist you and provide any clarification if need be.

Wewe ni Airtel?
 
Habari dugu,ndio mimi ni mfanyakazi wa Airtel naomba nikusaidie tafadhali kuhusiana na hili suala lililoletwa na mwana jamii mwenzetu,viwango vya kupiga simu Airtel kwenda kuanzia saa tano usiku 11pm mpaka saa kumi na mbili asubuhi 6am ni robo (1/4) shilingi.
 
Habari ndugu wana Jamii forum,
kwa maelezo zaidi unaweza kupiga simu katika kituo chetu cha huduma kwa wateja namba 100, au unaweza kututumia barua pepe helpdesk@tz.aitel.com ili tuweze kukuhudumia katika suula hili la mpango wa malipo wa robo shilingi kwa kupiga simu za Airtel kwenda Airtel kunazia saa tano usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi (11;00pm - 06;00am) au unaweza ukanipigia simu kwenye namba 0787 500 500 ili nikuhudumie.
Pia kama una swali lolote,au unahitaji maelezo yoyote kuhusiana na huduma zetu tafadhali wasiliana nasi na tutakuhudumia.
Ahsante.
 
Hii ndo TZ waungwana. Biashara zinaenda na udanganyifu perpendicular
 
Gabriel Jr. Nimekutumia PM juu ya concern yangu, kwa kifupi hata mimi nimeshakatwa hela nyingi zaidi ya hicho mnachokisema.
Sizani kama mnakisimamia hicho manachokitangaza.Pia kwanini hizi promotion mziweke usiku wakati mnajua watu wengi wanakua wamelala kama kweli mna haja ya kusaidia watu basi fanyeni kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa tano usiku ili kila mtu afaidi.

Kuna hizi zawadi mnazozitoa sijui za magali nk.Kuna mtu alishapewa zawadi ya gari akadai kuna mtu wa alimpatia million 8 kwa ajili ya kupata zawadi hiyo. Mtu mmoja akaniambia kua yule mtu anayekua anayebonyeza compyuta pale hana uelewa wa kutosha juu ya mambo ya IT sasa nyie makampuni ya simu mnakua mmeshategesha # ya mshindi.
 
Wewe ni Airtel?

Kaka hawa jama ni waongo sana na wanaboa atakua ni mmoja wao na kaingi JF baada ya kuon hii ishu. Ngoja niweke thread nyingine ya AIR PATEL!
 
Kaka hawa jama ni waongo sana na wanaboa atakua ni mmoja wao na kaingi JF baada ya kuon hii ishu. Ngoja niweke thread nyingine ya AIR PATEL!

Sio airtel peke yake hata tigo ndio waizi wa wazi wazi kabisaaa
 
:A S 101: Promosheni ya mitandao yote ni wizi mtupuuuu........
 
Habari dugu,ndio mimi ni mfanyakazi wa Airtel naomba nikusaidie tafadhali kuhusiana na hili suala lililoletwa na mwana jamii mwenzetu,viwango vya kupiga simu Airtel kwenda kuanzia saa tano usiku 11pm mpaka saa kumi na mbili asubuhi 6am ni robo (1/4) shilingi.

Wewe ni Airtel?

Kaka hawa jama ni waongo sana na wanaboa atakua ni mmoja wao na kaingi JF baada ya kuon hii ishu. Ngoja niweke thread nyingine ya AIR PATEL!

Jamani kuweni makini kutoa namba zenu kwa mtu anayedai kuwa ni mfanyakazi wa Airtel anaweza kuwa usalama wa taifa anawapepeleza hapa jukwaani.
 
Airtel wanasema 1/4 shilingi kwa huo usiku, huyu Gabriel Jr anasema robo shillingi kwa sekunde,mbona tangazo halisemi robo shilingi kwa sekunde?
 
Habari ndugu wana Jamii forum,
kwa maelezo zaidi unaweza kupiga simu katika kituo chetu cha huduma kwa wateja namba 100, au unaweza kututumia barua pepe helpdesk@tz.aitel.com ili tuweze kukuhudumia katika suula hili la mpango wa malipo wa robo shilingi kwa kupiga simu za Airtel kwenda Airtel kunazia saa tano usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi (11;00pm - 06;00am) au unaweza ukanipigia simu kwenye namba 0787 500 500 ili nikuhudumie.
Pia kama una swali lolote,au unahitaji maelezo yoyote kuhusiana na huduma zetu tafadhali wasiliana nasi na tutakuhudumia.
Ahsante.
Inasikitisha sana kuona kila kampuni inapoingia nchini inakuwa na lengo la kuvuna chee bila jasho. Moja ya wizi wa waziwazi wa hii inayoitwa Airtrel (Zamani Zain) ni hii promosheni yao ya Jirushe ya dakika 15 na kwa Tsh 250 na Dakika 30 kwa 500. Jamaa hawa hutuma msgs za kukuhamasisha ujiunge na Jirushe ya Dakika 15 kwa kutuma msg kwenda 155558 na ukituma tu wanakutumia msg ya kukupongeza na kukueleza namna ya kupiga simu na kuuliza salio la msg na simu. Lakini kinyume chake hutokea. Kila upigapo wanaendelea kukukata fedha na kukutumia msgs za gharama ulizotumia kwa mazungumzo hadi inapofika muda wa mwisho wa kujirusha. Mimi nimeshajaribu zaidi ya mara kumi na zote nimeliwa hela mara ya mwisho ni leo hii. Tunaomba Tume ya mawasiliano iwabane vibaka hawa. Kwa juu juu, shilingi 250 zinaonekana ndogo; lakini inafahamika kwamba mitandao hii ina watu zaidi ya milioni tano, sasa tafakari endapo waliohamasika kama mimi na kuibiwa 250 hizo tutafikia milioni moja kwa siku. Wahuni hawa watakuwa wamekomba milioni 250 kwa mpigo kiulainiii!
Nasisitiza tena hakuna rongorongo za kina Gabriel hapa bali uchunguzi ufanywe na wawajibishwe. Hilo la robo shilingi ni uongo mtupu kwani kila ninapopiga simu nakatwa kama kawaida.
 
Back
Top Bottom