newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,385
- 568
kufuatana na matukio ya leo na dharula,nimetumia simu yangu ya Air tel usiku after 11pm,wamekata pesa kubwa kama kawaida
nikaamua kwenda ktk website ya airtel.com nikakuta offer ya robo shilingi bado ipo.
TCCRA wanasimamia huu uozo wa kudanganya wateja?
nikitaka ku complain kwa Airtel kuna uwezekano wa kuwa refunded hiyo pesa?
kwa waliowahi kufaidika na hii 1/4shilingi uliwahi kuitumia lini.
nikaamua kwenda ktk website ya airtel.com nikakuta offer ya robo shilingi bado ipo.
TCCRA wanasimamia huu uozo wa kudanganya wateja?
nikitaka ku complain kwa Airtel kuna uwezekano wa kuwa refunded hiyo pesa?
kwa waliowahi kufaidika na hii 1/4shilingi uliwahi kuitumia lini.