JuniorDarilson_
Member
- Feb 19, 2024
- 55
- 66
- Thread starter
-
- #41
Kaka ukifisha 1200gb speed inapunguaHata fiber nayo speed inapunguwa users wakiwa wengi.
Binafsi ni mtumiaji wa Airtel kwa zaidi ya miezi 6 lakini sijawahi kukutana na hiyo changamoto
Matumizi yangu kwa mwezi si chini ya 1TBView attachment 2917009
Gb 800, ulikuwa unaidownload Dunia!? Na vyote vilivyomo!?GB800
Mimi kwangu imeanza kuganda juzi tu ila ilikuwa inapiga kazi fresh tuUkifisha gb 1200 speed inapungua. Airtel wenyewe wanasema hivyo
Hao TTCL sitaki hata kuwasikiaGb 800, ulikuwa unaidownload Dunia!? Na vyote vilivyomo!?
Tumia TTCL ni unlimited! unlimited kwelikweli!... Sio hao vibaraka wa nape! 20mbps downloading 20mbps uploading speed as well
Natumia wifi router yao mkoani... Ni 55,000 Kwa mwezi.
Mkuu Router yako ya Airtel ina changamoto hiyo?Kaka ukifisha 1200gb speed inapungua
Naipataje hii?Gb 800, ulikuwa unaidownload Dunia!? Na vyote vilivyomo!?
Tumia TTCL ni unlimited! unlimited kwelikweli!... Sio hao vibaraka wa nape! 20mbps downloading 20mbps uploading speed as well
Natumia wifi router yao mkoani... Ni 55,000 Kwa mwezi.
Siyo kirahisi RAHISI tu ! Eti unafanyiwa configuration Bure Bure!.... hivi hivi tu kama wanavyodai hao TTCL... Waongo!Naipataje hii?
Brother nishawatoa 150k wanifungie chap chap wanakataa. Wanadai noma kwa asahiv awapokei ela ivi ivi kma zamaniSiyo kirahisi RAHISI tu ! Eti unafanyiwa configuration Bure Bure!.... hivi hivi tu kama wanavyodai hao TTCL... Waongo!
Fuata protocol... Ukae mwaka unasubiria kufanyiwa configuration...!
Vunja protocol!... Kunjua mkono... Unafungiwa ndani ya siku moja!
Bro bora upate ttcl ata ikitokea changamoto ya mtandao, hujutii sana coz price yao rahisi na speed yao fair kwa kwel 20Mbps kwa 55k we acha. mi rafiki yangu anatumia ttcl (t-fiber) kila siku naendaga kushusha mizigo na speed iko vzuri yani stableHao TTCL sitaki hata kuwasikia
Kwenye Router yangu hakuna kikwazo hiyo 1TB naipasua bila shida na speed bado iko imara
View attachment 2950031
Mkuu Router yako ya Airtel ina changamoto hiyo?
Nilisha achana nao kitambo niliwarusishia router yao waliniambia ukifisha gb 1200 speed inapingua. Alfu sasa mi ni mtu wakudownload large files daily. So sikuweza kuendelea na huduma yaoMkuu Router yako ya Airtel ina changamoto hiyo?
Oya airtel miyayusho hiz net za wireless jau sana yani bora fiberMimi kwangu imeanza kuganda juzi tu ila ilikuwa inapiga kazi fresh tu
Naunga mkono hoja kakaOya airtel miyayusho hiz net za wireless jau sana yani bora fiber
Ilipaswa ujaze fomu kwanza ofisini Kwao, ulipie router na radio.... Then hao mafundi ndio unawapooza wanakufungia chapBrother nishawatoa 150k wanifungie chap chap wanakataa. Wanadai noma kwa asahiv awapokei ela ivi ivi kma zamani
Juzi iliganda nilikoma sana ππ€£πππMtoto hawezi kuelewa Vincenzo Jr
Shida zote za nini hizoJuzi iliganda nilikoma sana ππ€£πππ
Ya voda π₯π₯π₯ππ nilikuwa na download movie ya gb 5 ikaishia njiani nililia sana wifi ika gandaShida zote za nini hizo
Nimezoea zangu 5G nateleza tu
Gb 800, ulikuwa unaidownload Dunia!? Na vyote vilivyomo!?
Tumia TTCL ni unlimited! unlimited kwelikweli!... Sio hao vibaraka wa nape! 20mbps downloading 20mbps uploading speed as well
Natumia wifi router yao mkoani... Ni 55,000 Kwa mwezi
Ilipaswa ujaze fomu kwanza ofisini Kwao, ulipie router na radio.... Then hao mafundi ndio unawapooza
Bro hawataki ela niamini mimi shop ipo karibu hapa na maskani. Nilishaandika fomu na nikajaza tena na online mafundi walikuja wakafanya survey wakasema vifaa hamna wakipata watufunga nikatoa 150 cash nikawaambia ndugu zungu izi apa siku mbili naomba niwe nishafungiwa wakakataa ela wakaniambia nenda makao makuu uombe kibali ya kununulia vifaa nikaenda nikawaambia wakakataa kunipa kibali wakasema naomba uvute subira utafungiwa aah basi nika give up. Wacha niwasikilizie tu hadi 2028 ndo nahisi nitafungiwaIlipaswa ujaze fomu kwanza ofisini Kwao, ulipie router na radio.... Then hao mafundi ndio unawapooza wanakufungia chap
Tumia provider mwingine tu Hawa TTCL ni miyeyusho sanaBro hawataki ela niamini mimi shop ipo karibu hapa na maskani. Nilishaandika fomu na nikajaza tena na online mafundi walikuja wakafanya survey wakasema vifaa hamna wakipata watufunga nikatoa 150 cash nikawaambia ndugu zungu izi apa siku mbili naomba niwe nishafungiwa wakakataa ela wakaniambia nenda makao makuu uombe kibali ya kununulia vifaa nikaenda nikawaambia wakakataa kunipa kibali wakasema naomba uvute subira utafungiwa aah basi nika give up. Wacha niwasikilizie tu hadi 2028 ndo nahisi nitafungiwa