Mkuu, hiyo 10Mbps kwa nini uliamua ku upgrade? Ilikuwa haitoshi kwa matumizi yako?Nami yamenikuta sikuwa najua nilihisi ni tatizo la mtandao hasa ukizingatia nipo nje ya dar es salaam wanakoiuza kwamba ndio ilipo 5g.Baada ya kufatilia huduma kwa wateja ndio wananiambia wako na user limit policy.
Mwanzoni kwa speed ya 10mbps cha 70000 kwa Mwezi haikuwa kuwekwa limit hiyo ila baada ya kuongeza speed kuwa 30mbps ndio nimekutana na hayo majanga kabla ya muda niliojiunga kuisha.
Haya hawayaweki wazi kwa mteja ila utakutana nacho baada ya kutumia na kufikia cap yao hiyo.
Im disappointed na hapa naiuza sipo tayari kulipia unlimited iliyo limeted.Hii inawafaa wenye matumizi yakawaida tu acha nirudi Voda.
Nilinunua speed ya 30mbps sasa inasomea 2mbps halafu ndio kwanza wiki ya pili tu.
Kwa anayehitaji hii router ya Airtel njoo unirudishie 200k zangu tu nilizonunulia.
Yap ni ndogo kwangu kazi inachukua siku 4 kukamilika so kuongeza speed ikawa siku 2 ivyo yaniMkuu, hiyo 10Mbps kwa nini uliamua ku upgrade? Ilikuwa haitoshi kwa matumizi yako?
Hapo nimeelewa.Yap ni ndogo kwangu kazi inachukua siku 4 kukamilika so kuongeza speed ikawa siku 2 ivyo yani
Naskia voda hawana haya masekeNishatumia voda supa kasi 5g na hawana hio kitu
HawanaNaskia voda hawana haya maseke
Kwa mfano ukiacha kulipia mwezi mmoja au zaidi kuna shida?Nami yamenikuta sikuwa najua nilihisi ni tatizo la mtandao hasa ukizingatia nipo nje ya dar es salaam wanakoiuza kwamba ndio ilipo 5g.Baada ya kufatilia huduma kwa wateja ndio wananiambia wako na user limit policy.
Mwanzoni kwa speed ya 10mbps cha 70000 kwa Mwezi haikuwa kuwekwa limit hiyo ila baada ya kuongeza speed kuwa 30mbps ndio nimekutana na hayo majanga kabla ya muda niliojiunga kuisha.
Haya hawayaweki wazi kwa mteja ila utakutana nacho baada ya kutumia na kufikia cap yao hiyo.
Im disappointed na hapa naiuza sipo tayari kulipia unlimited iliyo limeted.Hii inawafaa wenye matumizi yakawaida tu acha nirudi Voda.
Nilinunua speed ya 30mbps sasa inasomea 2mbps halafu ndio kwanza wiki ya pili tu.
Kwa anayehitaji hii router ya Airtel njoo unirudishie 200k zangu tu nilizonunulia.
Kwa Airtel haina shida, ila kwa voda hilo ni deni watakudai.Kwa mfano ukiacha kulipia mwezi mmoja au zaidi kuna shida?
Assume nimenunua router na kuunha cha 70 then kikaosha mwezi unaofata sihitaji internet labda Moka mwezi mwingine je inakuwaje
Vipi kuhusu pocket WiFi ya airtelKwa Airtel haina shida, ila kwa voda hilo ni deni watakudai.
Nikama utumiavyo laini zingine tu kwamba hujalipia hupati huduma.Ila kama hutolipia kwa miezi kadhaa watakuchukulia hatua zingine ilo kwakweli sijui.Kwa mfano ukiacha kulipia mwezi mmoja au zaidi kuna shida?
Assume nimenunua router na kuunha cha 70 then kikaosha mwezi unaofata sihitaji internet labda Moka mwezi mwingine je inakuwaje
Kiongozi, hebu nipe elimu manake miluzi inanipoteza. Kwa jinsi watu wanavyoongea ni wazi wanachotoa sio unlimited bali wanatoa kiasi fulani cha GB na baadae ku-apply throtting pale GB ulizopewa zinapoisha. Je, unaweza kuwa na idea kwa ile plan ya 70K inaweza kuwa ni GB ngapi? Au hiyo ya kwako ni plan ipi hasa?GB800
Plan ya 70K ni 10Mbps hakuna kipimo cha MB.Kiongozi, hebu nipe elimu manake miluzi inanipoteza. Kwa jinsi watu wanavyoongea ni wazi wanachotoa sio unlimited bali wanatoa kiasi fulani cha GB na baadae ku-apply throtting pale GB ulizopewa zinapoisha. Je, unaweza kuwa na idea kwa ile plan ya 70K inaweza kuwa ni GB ngapi? Au hiyo ya kwako ni plan ipi hasa?
Kachukue airtel hamna anaweza kukupaKama unlimited Upo Pande za Mombasa, bombambili, gongo lamboto
Tuchekiane wazee nahitaji kushusha files Large Kidogo Bei tunaelewana
Ngoja nijipangeKachukue airtel hamna anaweza kukupa
Nipo kwa MhayaKama unlimited Upo Pande za Mombasa, bombambili, gongo lamboto
Tuchekiane wazee nahitaji kushusha files Large Kidogo Bei tunaelewana
Chukua vodaKama unlimited Upo Pande za Mombasa, bombambili, gongo lamboto
Tuchekiane wazee nahitaji kushusha files Large Kidogo Bei tunaelewana
Dah! Afadhali manake nimefuatilia TTCL hadi nimechoka. Hakuna namna itabidi Tigo Postpaid niwapige chini na 80GB zao! Nawe Mkuu Kanungila Karim, bakini na Fiber Internet yenu ya TTCLPlan ya 70K ni 10Mbps hakuna kipimo cha MB.
Maana yake ni unlimited yenye speed ya 10Mbps na sio kuwa unatengewa MB kadhaa kwamba zikiisha katikati ya mwezi basi inabidi ulipie tena.
View attachment 2916855
Ndugu zangu nilijiunganisha na airtel 5g unlimited internet nikajua kwamba hawana limit ya volume kumbe unahesabiwa gb na GB zikiisha speed ya internet inapungua. Mimi nilitoka kuwa na speed ya download 30Mbps Upload 5OMbps kwenda mpaka 1Mbps download na 2Mbps upload daah nichangamoto kubwa sana.
Nawashauri tu wale ndugu zangu wanaotaka kujiunga na hii airtel 5g unlimited. Kama wewe ni mtu wa kudownload vitu sana hii haifai kabisa na speed ikipungua internet inasumbua yani hata kuchek tu insta shughuli ina stuck sana.
So Beware