Airtel acheni kunitumia jumbe za Upige Mwingi

Airtel acheni kunitumia jumbe za Upige Mwingi

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Airtel tafadhalini msiniletee ujinga wenu wa meseji za Upige Mwingi, kwenye hizi meseji zenu eti mnanizawadia muda wa maongezi, meseji na mb za intaneti vyote hivi mnanitaka nianze kuvitumia kuanzia saa 6 kamili usiku na kuishia saa 12 alfajiri! Mimi siyo mwanga.

Niliponunua simu sikuwahi kuwaomba mnizawadie chochote kile na sikutarajia kuwa kila wakati nitakuwa napata meseji zenu za kijinga za Upige Mwingi, zinanipa usumbufu wa kuzifuta kila mara.

Acheni kunitumia mimi.
 
Airtel tafadhalini msiniletee ujinga wenu wa meseji za Upige Mwingi, kwenye hizi meseji zenu eti mnanizawadia muda wa maongezi, meseji na mb za intaneti vyote hivi mnanitaka nianze kuvitumia kuanzia saa 6 kamili usiku na kuishia saa 12 alfajiri! Mimi siyo mwanga.

Niliponunua simu sikuwahi kuwaomba mnizawadie chochote kile na sikutarajia kuwa kila wakati nitakuwa napata meseji zenu za kijinga za Upige Mwingi, zinanipa usumbufu wa kuzifuta kila mara.

Acheni kunitumia mimi.
Sawa ndugu mwana Jf hatukutumii tena
 
Huuu ni mtandao wa hovyo sana...yaani nipo Dar tena mjini kabsaa ila network hakuna,unaongea na mtu mara sauti inakata kuna kuja makelele ya kutisha kwenye mawasiliano,msg unatuma haziendi cha kushangaza sana kwenye kipengele cha huduma za kifedha jamaa wanazingua,ukija kwenye menu ya vipengere vya kuchagua kutuma hela mitandao mingine zoezi linakwamia hapo,kununua umeme nako wamekula hela yangu tangu mwezi wa saba mpaka leo hawajarudisha msg ya Token za Luku,Kununua vifushi vya ving'amuzi huko ndo Majanga kabsaaa....Ila ukienda Ofsini kwao hapo morroco ofisi imejaaa watendaji kibao...Sasa sjajua shida ni nini?
 
Huuu ni mtandao wa hovyo sana...yaani nipo Dar tena mjini kabsaa ila network hakuna,unaongea na mtu mara sauti inakata kuna kuja makelele ya kutisha kwenye mawasiliano,msg unatuma haziendi cha kushangaza sana kwenye kipengele cha huduma za kifedha jamaa wanazingua,ukija kwenye menu ya vipengere vya kuchagua kutuma hela mitandao mingine zoezi linakwamia hapo,kununua umeme nako wamekula hela yangu tangu mwezi wa saba mpaka leo hawajarudisha msg ya Token za Luku,Kununua vifushi vya ving'amuzi huko ndo Majanga kabsaaa....Ila ukienda Ofsini kwao hapo morroco ofisi imejaaa watendaji kibao...Sasa sjajua shida ni nini?
Nakazia
 
Airtel tafadhalini msiniletee ujinga wenu wa meseji za Upige Mwingi, kwenye hizi meseji zenu eti mnanizawadia muda wa maongezi, meseji na mb za intaneti vyote hivi mnanitaka nianze kuvitumia kuanzia saa 6 kamili usiku na kuishia saa 12 alfajiri! Mimi siyo mwanga.

Niliponunua simu sikuwahi kuwaomba mnizawadie chochote kile na sikutarajia kuwa kila wakati nitakuwa napata meseji zenu za kijinga za Upige Mwingi, zinanipa usumbufu wa kuzifuta kila mara.

Acheni kunitumia mimi.
Airtel tafadhalini msiniletee ujinga wenu wa meseji za Upige Mwingi, kwenye hizi meseji zenu eti mnanizawadia muda wa maongezi, meseji na mb za intaneti vyote hivi mnanitaka nianze kuvitumia kuanzia saa 6 kamili usiku na kuishia saa 12 alfajiri! Mimi siyo mwanga.

Niliponunua simu sikuwahi kuwaomba mnizawadie chochote kile na sikutarajia kuwa kila wakati nitakuwa napata meseji zenu za kijinga za Upige Mwingi, zinanipa usumbufu wa kuzifuta kila mara.

Acheni kunitumia mimi.
Mkuu simple ni kublock tu kwisha. Mimi msg yyt ya kipumbavu inakula ban naupiga mwingi kwa kublock msg za upige mwingi kwenye scoreboard inasomeka 1-1
 
Hii mitandao ina mambo mengi sana yakitoto.Akuna wenye afadhali.Voda wao wanafanya line itume meseji kwao automatic alafu inakuja meseji umejiunga na ujinga fulani gharama ni kiasi fulani kwa siku.kujiondoa piga namba fulani.Ukipiga hiyo namba wakuondoe hawakuondoi na customer care hawapokei na ukiweka salio wanakata.mambo mengine yakipumbavu kabisa.Tunavumilia mengi sana hii nchi.
 
Back
Top Bottom