Ngwakwiii
JF-Expert Member
- Dec 6, 2019
- 434
- 541
Nimekuita kwa majina matatu kwa uchungu kabisa ni leo tuu saa nne unusu nimejiunga na bandle la Tsh 2000 GB 1.1
Sijafanya lolote lile mmeshamaliza kifurushi changu? Wallah pepo mtaisikia law jirani nimewachukia sana sana.
Kwani wananchi tumewakosea nn ndg zetu
Sijafanya lolote lile mmeshamaliza kifurushi changu? Wallah pepo mtaisikia law jirani nimewachukia sana sana.
Kwani wananchi tumewakosea nn ndg zetu