Airtel Customer Car jobs(nielimiesheni tafadhali)--

Nishaacha kuomba kazi za kuganga njaa cku hizi manake huko mnakutana wenye njaa tupu, kuanzia waomba kazi wenyewe hadi baba zao na matokeo yake ni full unprorofessionalism. Nishatuma CV kwa Braza JK nikiomba nafasi ya Jairo ambayo nina uhakika 100% i can do it.
 
Sio laki mbili na sabini bali ni laki moja na nusu penyewe unafanya kazi kuanzia saa kumi na mbili hadi saa nne usiku

Duh inazidi kupungua tu, toka 450 mpaka 150 kama biashara za wa machinga, muhindi hafai kwa mtindo huu.
 
Duh inazidi kupungua tu, toka 450 mpaka 150 kama biashara za wa machinga, muhindi hafai kwa mtindo huu.

Kusema ukweli wahindi sio watu kabisaaa! Ni sababu ya shida tu ndo maana watu wanaenda vinginevyo?????

 
kajaribu kaka siombaya ni heri uanze ukiona haikulip then unaweza ukaipotezea kuliko kukata tamaa kabisa nivizuri kujaribu jambo mwenyewe kuliko kusikiliza maneno yawatu ingawa kweli salary yake ni laki mbili sabini\

labda awe anatokea nyumbani, ila kama yupo gheto ataishije. Bora uwe machinga, kuliko kuwekana saa 12 asubuh mpaka saa 4 usiku kwa 270,000
 
labda awe anatokea nyumbani, ila kama yupo gheto ataishije. Bora uwe machinga, kuliko kuwekana saa 12 asubuh mpaka saa 4 usiku kwa 270,000

mbona police wanaish kwa mshahara huo huo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…