Airtel Customer Care kulikoni leo!?

Airtel Customer Care kulikoni leo!?

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,497
Reaction score
16,180
Wakuu habari za mchana,

Hivi airtel leo wanafanya makusudi au? Maana nimehamisha hela kutoka airtel kwenda bank tangia asubuhi saa moja ila hadi sasa hela haijafika destination. Napiga simu huduma kwa wateja tangia hiyo saa moja naambulia kusikilizishwa matangazo sababu eti wanapokea simu nyingi..... Tangia saa moja hadi sasa saa saba kasoro kweli? Airtel mmenilostisha sana leo.
 
Wakuu habari za mchana,

Hivi airtel leo wanafanya makusudi au? Maana nimehamisha hela kutoka airtel kwenda bank tangia asubuhi saa moja ila hadi sasa hela haijafika destination. Napiga simu huduma kwa wateja tangia hiyo saa moja naambulia kusikilizishwa matangazo sababu eti wanapokea simu nyingi..... Tangia saa moja hadi sasa saa saba kasoro kweli? Airtel mmenilostisha sana leo.
Unawapigia kwa namba gani mzee? Maana mie nimewapigia kwa 100 tangu wiki ilopita naambulia kusikiliza matangazo ya huduma tu lakini option ya kuongea na mtoa huduma haipo

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 
Mtandao Huu, Wameshashindwa Kazi, Yaan Leo Toka Asubuh Hakuna Kupiga Wala Nin, Yaan Ukipiga Jibu Ni "Call Ended". Mitandao Ya Bongo Bwana, Wiziwizi Mwingi, Huduma Mbovu!, Ovyo Kabsa.
 
Airtel sms zinasumbua sana kwenda msg inakaa dakika 5 ndo inaenda
 
Back
Top Bottom