Ila haya yana mwisho mtu muongo siku zote hata akija kusema ukweli bado huta muamini. Anyway labda ndio business zetu na watu wetu wanapenda hivi baya zaidi na Airtel they cheat to people hawana tofauti.Wapo tena wengi,baadhi ya wabongo tunapenda umbeya na kiki,so jamaa audience kaigeuza kuwa hela.
Mziki si kazi ya milele unapokuwa wa moto ndio mda wa kupiga hela, tengeneza kiki inayo kuingiza hela na kwa kuwa wabongo walio wengi wanapenda kiki na umbeya, dogo katumia fursa kutengeneza hela.Ila haya yana mwisho mtu muongo siku zote hata akija kusema ukweli bado huta muamini. Anyway labda ndio business zetu na watu wetu wanapenda hivi baya zaidi na Airtel they cheat to people hawana tofauti.
Wamefanikiwa wametengeneza attention na watu wakaamini.Ila haya yana mwisho mtu muongo siku zote hata akija kusema ukweli bado huta muamini. Anyway labda ndio business zetu na watu wetu wanapenda hivi baya zaidi na Airtel they cheat to people hawana tofauti.
Ni kweli wala simlaumu Diamond na team yake wako sawa tu tumia fursa basi ila mimi kama mimi siwezi kuhamia mtandandao eti kwa sababu Joti sijui nani yuko huko, najiongeza najuwa mtandao gani unatoa huduma bora.Mziki si kazi ya milele unapokuwa wa moto ndio mda wa kupiga hela, tengeneza kiki inayo kuingiza hela na kwa kuwa wabongo walio wengi wanapenda kiki na umbeya, dogo katumia fursa kutengeneza hela.
Siku akikaa pembeni anakuwa anapigia hesabu hela zake. Halafu husichukulie vitu serious hasa vya mitandao, hii ni biashara na airtel wanatafuta soko na wamefanikiwa kwani wengi wamelifuatilia. Ukivichukulia vitu vya social networks serious kuna siku vinaweza kukuvuruga na kukuchukulia mda wako.
Wewe kama huwezi wengine wanaweza, husicho kipenda ww husizani kwamba kila mtu hakipendi na vizuri unatumia uhuru wako wa kuchagua kama wengine wanavyo chagua mitandao mengine.Ni kweli wala simlaumu Diamond na team yake wako sawa tu tumia fursa basi ila mimi kama mimi siwezi kuhamia mtandandao eti kwa sababu Joti sijui nani yuko huko, najiongeza najuwa mtandao gani unatoa huduma bora.
Airtel ndio waje watuletee mrejesho baada ya kiki hii wameongeza mauzo kiasi gani? na uhakika hakuna kitu ni yaleyale sababu Net yao iko very poor huko ndio wanatakiwa waboreshe kitu kizuri kinauzika tu watu wanaambiana tu bwana Airtel siku hizi wako speed na vifurushi bei poa watu wanakuja. Mimi sijashawishika na Airtel net iko very poorWamefanikiwa wametengeneza attention na watu wakaamini.
Ela amepga maisha inasonga.
Ndio maana nimesema MIMI sijasema SISIWewe kama huwezi wengine wanaweza, husicho kipenda ww husizani kwamba kila mtu hakipendi na vizuri unatumia uhuru wako wa kuchagua kama wengine wanavyo chagua mitandao mengine.
Mkuu mimi ninaitumia internet yao hapa kwangu iko saf kabisa sema kuna siku wamenpga pesa halafu wakaznguaAirtel ndio waje watuletee mrejesho baada ya kiki hii wameongeza mauzo kiasi gani? na uhakika hakuna kitu ni yaleyale sababu Net yao iko very poor huko ndio wanatakiwa waboreshe kitu kizuri kinauzika tu watu wanaambiana tu bwana Airtel siku hizi wako speed na vifurushi bei poa watu wanakuja. Mimi sijashawishika na Airtel net iko very poor
Familia nzima ni kama wanashinda njaa tu 😂Li mtandao la hovyo sana,na balozi mwenyewe wa hovyo😂😂😂. Hivi kwa dini yao mwezi huu inaruhusiwa kudanganya?
Pole sana mimi kwa kweli sina shida nao sana ila kwenye Net ndio shida yangu na wao kuna wakati unaona kabisa 4G signal lakini net slow na wakati 4G inapotea na hapo niko town kabisa uko mtandandao mwingine sitaki kutaja jina nikaonekana nawapigia promo kwenye Net wako vizuri muda mwingiMkuu mimi ninaitumia internet yao hapa kwangu iko saf kabisa sema kuna siku wamenpga pesa halafu wakazngua
Voda wana internet nzur sana ina kas nzur sana nawakubaliPole sana mimi kwa kweli sina shida nao sana ila kwenye Net ndio shida yangu na wao kuna wakati unaona kabisa 4G signal lakini net slow na wakati 4G inapotea na hapo niko town kabisa uko mtandandao mwingine sitaki kutaja jina nikaonekana nawapigia promo kwenye Net wako vizuri muda mwingi
Una line ya tigo?Limtandao la kiwaki unaweza kumpigia mtu ukaambiwa hapatikani wakati uko naye
Airtel kwa dakika tu utainjoi sana ila MB sishauri yaani MB zinapukutika kwa spidi ya ajabu, Airtel angalieni jinsi mtandao wenu unavyofeka MBNimeamka asubuhi nikakutana na ujumbe kutoka kwa rafiki yangu ambae ni mfanyakazi wa Airtel (TSM), akiwa amenitumia Tangazo jipya la Joti.
Nikatabasamu kwa kuwaza kwamba Airtel wamefanikiwa kumnyofoa Joti kutoka Tigo; nikawaza au labda huyu muwekezaji mpya alieingia Tigo amechagiza jamaa kuondoka?
Sikuishia hapo, nikaona ngoja niende kwenye ukurasa wa Instagram wa Airtel ili nione wana kipi cha kusema baada ya kumpata Joti kama balozi wao. Heh, si ndo' nikamuona Diamond!
Nilichokutana nacho kwenye maoni (comments) ni msiba; kwanza sikujua kabla kuwa kulikuwa na 'kiki' inaendelea ya kuwa Diamond anaoa! Kiki ambayo mpaka Mama yake mzazi aliishadadia (Tusisahau huu ni mwezi mtukufu).
Bado najiuliza aliyebuni hii kiki ya Airtel kuolewa na Diamond ni wa kike au wa kiume? Japo si mara ya kwanza kwa makampuni kutumia matangazo yenye ukakasi (Tigo ikiwa inaongoza kwa maoni yangu) lakini hili la Airtel naona kama lime-backfire kwa kiasi fulani.
Ukipitia sehemu kubwa ya maoni ya watumiaji katika ukurasa wa Instagram wa Airtel, inaonekana kuna shida upande wa huduma za Airtel - hazikidhi mahitaji ya wateja.
View attachment 2184677
View attachment 2184678
Naamini wamewalipa pesa nyingi sana Diamond na Joti ili kutengeneza "image" ya kampuni. Lakini sasa, naamini humu kuna watumiaji wa Airtel - pengine wale wa Instagram ni mamluki; vipi jamani - hali ya mtandao wa Airtel kihuduma ukoje? Ni kweli wana kasi ya Supa 4G? Kama ni kweli nataka ninunue ile Mi-Fi yao.... japo sijapenda suala la kuolewa na Diamond!