Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Wasalaam hizi namba 0696447569 0695263962, 0742696669,0683374286, 0696447567, 0719249958. Ni watu wanaodai wao ni wakusanyaji madeni wa hizi online financial services ambazo zinatoa huduma za kukopesha kupitia online.
Hizi kampuni ukichunguza kwa undani zina baraka zote za haya makampuni ya simu za mikononi hasa hii kampuni ya CCM Airtel.
Cha ajabu mtu anachukua mkopo kisha analipa lakini hawa mawakala wao wamekuwa wakisumbua sana watu.
Cha kushangaza hawataki kuonyesha ofisi zao zilipo na hawataki kabisa kutoa ushirikiano juu ya kuonyesha jinsi deni lilivyolipwa. TRA na BOT wapo kimya. Mwigulu ebu ingilia kati juu ya suala hili.
Hizi kampuni ukichunguza kwa undani zina baraka zote za haya makampuni ya simu za mikononi hasa hii kampuni ya CCM Airtel.
Cha ajabu mtu anachukua mkopo kisha analipa lakini hawa mawakala wao wamekuwa wakisumbua sana watu.
Cha kushangaza hawataki kuonyesha ofisi zao zilipo na hawataki kabisa kutoa ushirikiano juu ya kuonyesha jinsi deni lilivyolipwa. TRA na BOT wapo kimya. Mwigulu ebu ingilia kati juu ya suala hili.